National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
IT majuzi niliwaburuza , ilifika point hawakuniona tenaaa na mie sikuwaona tena 😀😀 mwanzo walinipita kama upepo huku wananipigia piiipiii.. nikasema moyoni haya twendeni kazi..Ni kweli ligi huwa zinaanzia msamvu hapo ila Wale jamaa iT kiboko sema kama una chombo cha kueleweka barabara unaijua vizuri wao ndo wanasanda.