Swiiiiiiiiii.....swiiiiiiiπππ ilisikika prado moja kdj150Inapiga mluzi ipo pale pale tuu ππππ kuna siku nilishwai kuchapa ligi na hiyo gari ndio nika ziondolewa nyota πππ nilikuwa nazikubali sana, ila siku hiyo nikaona hamna kitu hapa
Sasa mkuu inakuwaje una gari kali hiyo ukashindwa kutumia masaa 5 moshi to dar.D4D nenda nayo kwenye miradi boss ukija kwenye ligi tutakunyoosha.
Umetembea sana mkuuNimetoka Moshi 1630 sasa hivi 2100 nipo Msata, wale wanasema Dar Moshi masaa matano huwa mnaendeshaje? Maana nimetembea balaa!
Umekosea ni zaidi ya 400kmBila shaka huo mwendo ulikua wa kawaida, moshi hadi msata ni kama 300km,huu ni mwendo wa saa2:30 hivi
Mbona naye katembea masaa 4.30?420KM ukiwa serious kibati (mida ya usiku), five hours unatoboa.
Hakuna sehemu inachosha kama kutoka Segera to Wami.Ohoo ahsante mkuu kwa usahihi, kumbe parefu hapo
Mkuu jamaa katembea vizuri tu, hiyo road ni mbovu sana siku hiziHe he una hakika ulikuwa unatembea haswa? Maana kwa utembeaji wa kilometre 45O ulitakiwa uzifute kwa masaa 4 tu yani Msata ilitakiwa saa 193O uwe ushafika hapo kama kweli ulipasuka mwanzo mwisho.
4GR mashine kubwa mzee baba umefelije, Dar-Moshi haina malori sana [emoji23]
Hio sehemu kama unaenda mbinguni πππ kama unafatilia saa unaweza tukana! Parefu kama unaenda mkoa mwengineHakuna sehemu inachosha kama kutoka Segera to Wami.
Hiki kipande sikipendagi kabisa
Kajitahidi, i would sprint real quick with the same engine hata ingekuwa Mark X tena usikuMkuu jamaa katembea vizuri tu, hiyo road ni mbovu sana siku hizi
Fix za kibongo tuNashangaa wanaosema wanatumia 5hrs na tugari twetu wanaendeshaje?
Aisee panakera tena bora mda wa kwenda, muda wa kurudi inachosha mno.Tatizo miji midogo mingi. Stop start kwa sana. Stop start ndio inafanya safari ndefu, ila sio parefu.
Yeah nishachezewa vibaya na LC200 V8 mkeka wa Iringa - Kitonga, kila nikimkata anakuja kuniosha kwenye tuta, namfukuza tena namkuta anapiga timing ya kuovateki lori, namkata tena ila nikishakutana na tuta tu naanza kucheka maana mhuni anapita kama tambarare haweki mguu kati kabisa. Zile suspension zisikie tu ukiziona in action zitakuimpress. Sipati picha ile feeling mule ndani, must be kama ndege.Hapo ndiko prado au vx anakuchapa bila huruma
Matusi haya π¬π¬π¬ tutake radhiInabidi uendeshe kama mwehu asiejali maisha yake kitu ambacho siwezi.
Why mkuu hupapendi?Hakuna sehemu inachosha kama kutoka Segera to Wami.
Hiki kipande sikipendagi kabisa