Ndani muhuni hasikii chochote😂😂😂 wa nje unaona tairi zinacheza tu, ndio maana ma VX yanawatupaga vibaya sometimes.Yeah nishachezewa vibaya na LC200 V8 mkeka wa Iringa - Kitonga, kila nikimkata anakuja kuniosha kwenye tuta, namfukuza tena namkuta anapiga timing ya kuovateki lori, namkata tena ila nikishakutana na tuta tu naanza kucheka maana mhuni anapita kama tambarare haweki mguu kati kabisa. Zile suspension zisikie tu ukiziona in action zitakuimpress. Sipati picha ile feeling mule ndani, must be kama ndege.
Hao wala sijiumizi, namuacha aende. Kwanza hata mafuta hanunui anaweka tu bure!Yeah nishachezewa vibaya na LC200 V8 mkeka wa Iringa - Kitonga, kila nikimkata anakuja kuniosha kwenye tuta, namfukuza tena namkuta anapiga timing ya kuovateki lori, namkata tena ila nikishakutana na tuta tu naanza kucheka maana mhuni anapita kama tambarare haweki mguu kati kabisa. Zile suspension zisikie tu ukiziona in action zitakuimpress. Sipati picha ile feeling mule ndani, must be kama ndege.
Kutoka Sirari hadi njia panda kwenda Tarime ni 25km tu,kutoka pale hadi Makutano pana kama 83km hivi,then kuitafuta Bunda pana 69km,nmesahau umbali wa Bunda hadi Lamadi junction ya kwenda Bariadi,ila toka pale hadi Mwigumbi Shinyanga ni 173 kama sijakosea,toka Mwigumbi hadi Shinyanga ni kama 40km hv, then Shy to Igunga pale mpakani nj 186km,kuimalizia Singida ni 116kmNimeshangaa sana kuona kaichukulia poa D4D binafsi nimeitumia sana kwa masaa matatu dar to tanga na masaa sita Sirari to singida.
I don't think so, in the real world, average isingekuwa tofauti sana. Vijiji, junctions, miji, other traffic, matuta, mataa e.t.c ni equalizers wa average.Ungekuwa na odo yenye mpaka 260, average ingekuwa tofauti sana.
Hahhaha daah umenifanya niiangalie ID nikamkumbuka huyu jamaa aliyesema havuki 70.Umeshaweza kuendesha mwendokasi?
Wewe unadhani mwendokasi ni speed kuanzia ngapi?
Sijajua kama ni kweli, ila nahisi migari mikubwa yenye CC kubwa haili nafuta kama vidogo dogo viwapo mbio , nahisi kagari kadogo kama IST ili kakimbie inabidi ukunje goti hadi mwisho wakati gari kama crown uki palce kidogo tu upo 120Hao wala sijiumizi, namuacha aende. Kwanza hata mafuta hanunui anaweka tu bure!
Sirari singida ni km 660 sasa unashangaa kutumia masaa 6 tena usiku kwa D4DKutoka Sirari hadi njia panda kwenda Tarime ni 25km tu,kutoka pale hadi Makutano pana kama 83km hivi,then kuitafuta Bunda pana 69km,nmesahau umbali wa Bunda hadi Lamadi junction ya kwenda Bariadi,ila toka pale hadi Mwigumbi Shinyanga ni 173 kama sijakosea,toka Mwigumbi hadi Shinyanga ni kama 40km hv, then Shy to Igunga pale mpakani nj 186km,kuimalizia Singida ni 116km
Kwa muda wa masaa sita kama ni mchana kuna uwezekano umetupiga na kitu kizito kichwani mkuu.
Hata kama ni usiku pia bado umetubonda mkuu
Gari za serikali/kitengo mafuta wanawekewa ndio maana anatembea 180+ bila shida. Ukishavuka 160+ hata V8 inakunywa wese, nishatembea sana na Y62 V8 lina kiu balaa. Sasa kama V8 anatembea 170-180 wewe ili uende nae sambamba rpm muda mwingi itakuwa kwenye 4 na zaidi.Sijajua kama ni kweli, ila nahisi migari mikubwa yenye CC kubwa haili nafuta kama vidogo dogo viwapo mbio , nahisi kagari kadogo kama IST ili kakimbie inabidi ukunje goti hadi mwisho wakati gari kama crown uki palce kidogo tu upo 120
Sirari singida ni km 660 sasa unashangaa kutumia masaa 6 tena usiku kwa D4D
Tazama hapo max speed ni 160.
Ni sahihi kabisa usemalo, mimi kwa gari hiyo niliyokuwa nikitumia masaa matatu tanga dar mafuta naweka full ambayo inakuja 80 ltr na sitoboi katikati ya mjini bunju lazima niweke 20 ltr na ukitembea 80 kph unatumia nusu tank dar to tanga.Gari za serikali/kitengo mafuta wanawekewa ndio maana anatembea 180+ bila shida. Ukishavuka 160+ hata V8 inakunywa wese, nishatembea sana na Y62 V8 lina kiu balaa. Sasa kama V8 anatembea 170-180 wewe ili uende nae sambamba rpm muda mwingi itakuwa kwenye 4 na zaidi.
Mkuu max yako 160kph, avarage yako 70kph umecover vipi 660km kwa masaa 6? Gage yako ingeonesha average speed 110kph na trust me max speed ingekuwa 180kph hata mara moja.Sirari singida ni km 660 sasa unashangaa kutumia masaa 6 tena usiku kwa D4D
Tazama hapo max speed ni 160.
Gari ina weight kubwa sana na 201HP from a 2.4L engine. Hata akae kichaa gani ni anaachwa ndani ya dakika 2 za ligi kuanzaSiku moja utakutana na kichaa ndani ya manuaal 1GD ndio utaelewa kinachoongelewa humu
Nikikutana naye pengine namuacha ila sio barabara ya Chalinze - Dar haswa usiku wa manane. Last trip natoka Dom niko Chalinze mdo mdo naovateki nashangaa anakuja ananiflashia high beams as if nimemwekea kiwingu. Tuliikaanga lami pale nikitoa katoa, nilimpoteza kuanzia kibaha kwa mathias sikumuona tena kwenye kioo mpaka mbezi nimeshusha abiria na kugeuza nikapishana naye anashuka.Hao wala sijiumizi, namuacha aende. Kwanza hata mafuta hanunui anaweka tu bure!
0-180kph na engine yako cc3500 na body weight 1.5T unaweza kushinda. Na barabara nyingi zinaruhusu 0-180 max maeneo mengi. Kwahio unaweza kuwa na uwezo zaidi.Nikikutana naye pengine namuacha ila sio barabara ya Chalinze - Dar haswa usiku wa manane. Last trip natoka Dom niko Chalinze mdo mdo naovateki nashangaa anakuja ananiflashia high beams as if nimemwekea kiwingu. Tuliikaanga lami pale nikitoa katoa, nilimpoteza kuanzia kibaha kwa mathias sikumuona tena kwenye kioo mpaka mbezi nimeshusha abiria na kugeuza nikapishana naye anashuka.
1GD ni 2.8L hio mkuu ndio 201HP, 2GD ndio ina 2.4L ina 150HPGari ina weight kubwa sana na 201HP from a 2.4L engine. Hata akae kichaa gani ni anaachwa ndani ya dakika 2 za ligi kuanza
Hiyo 160 ndio top bahati mbaya wakati na screen shot hiyo nilikuwa speed hiyo unayoiona ya 89 na muda mrefu ninapokuwa mwendo wa zaidi ya 140 kwanza siwezi kuwa na kitu natazama pembeni au kushika simu na ku screen shot.Mkuu max yako 160kph, avarage yako 70kph umecover vipi 660km kwa masaa 6? Gage yako ingeonesha average speed 110kph na trust me max speed ingekuwa 180kph hata mara moja.
NB: Nimetumia data za picha uliotuma.
Wa diesel hachomi kama wewe mwenye petrol😂 japo at start unaweza kumfua ila high end torque ya diesel lazma iku show.Sijajua kama ni kweli, ila nahisi migari mikubwa yenye CC kubwa haili nafuta kama vidogo dogo viwapo mbio , nahisi kagari kadogo kama IST ili kakimbie inabidi ukunje goti hadi mwisho wakati gari kama crown uki palce kidogo tu upo 120
Na barabara ya chalinze muda wote iko busy so hana muda wa kufika 200+0-180kph na engine yako cc3500 na body weight 1.5T unaweza kushinda. Na barabara nyingi zinaruhusu 0-180 max maeneo mengi. Kwahio unaweza kuwa na uwezo zaidi.
Numbers don't lie, hizi ndio namba za kutishia watu? Kisa kisahani kinasoma 200?1GD ni 2.8L hio mkuu ndio 201HP, 2GD ndio ina 2.4L ina 150HP
Kwamba hatujui average speed ni nini?Hiyo 160 ndio top bahati mbaya wakati na screen shot hiyo nilikuwa speed hiyo unayoiona ya 89 na muda mrefu ninapokuwa mwendo wa zaidi ya 140 kwanza siwezi kuwa na kitu natazama pembeni au kushika simu na ku screen shot.