Kutoka Sirari hadi njia panda kwenda Tarime ni 25km tu,kutoka pale hadi Makutano pana kama 83km hivi,then kuitafuta Bunda pana 69km,nmesahau umbali wa Bunda hadi Lamadi junction ya kwenda Bariadi,ila toka pale hadi Mwigumbi Shinyanga ni 173 kama sijakosea,toka Mwigumbi hadi Shinyanga ni kama 40km hv, then Shy to Igunga pale mpakani nj 186km,kuimalizia Singida ni 116km
Kwa muda wa masaa sita kama ni mchana kuna uwezekano umetupiga na kitu kizito kichwani mkuu.
Hata kama ni usiku pia bado umetubonda mkuu