Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Huyu fuga lastborn, 207HP 2500cc

Kuna fuga ya kati 283HP 3500cc

Na kuna fuga firstborn 328HP 4500cc V8

Trims zinaanzia XV, XVVIP, GT na GT FOUR (4WD)

Zote body na interior ni ile ile, ila engine & trim kubwa zaidi zina more luxury features mfano heated & cooled seats, bluetooth audio (zote zina bt calls), heated & powered rear seats, foldable rear multimedia screen, sunroof, LED rear lights e.t.c

Hiyo 250GT pichani ndio highest trim kwa 2500cc engine

Soko la used hazina bei hizo mkuu, zinaogopwa. Hapo mwenye gari anapewa 6-7M tu, dalali atamshikisha mtu kwa 8M+

Kuna mtu anataka aichukue?
Mkuu hii ina tofauti gani ya ulaji wese na kina 4gr?
 
Sometime ule upweke unaku boa na kukuslow down so anapokuja mtu kukupitia unaunga msafara unamfanya pacemaker at a safe following distance. Unapata mtu wa kukuangalizia barabara na kukuamsha speed. Ni raha ya road trip na inapunguza sana fatigue usiku.

Cha kuzingatia ni following distance. Kuna madereva hawazingatii kabisa kuacha nafasi. Kwa highway speed ni hatari sana. Nawawashiaga hazard afu naslow down. Nilishagongwa kwa nyuma kutokana na hayo kwahiyo nakuwa aware sana kuangalia nyuma.
Pacemaker 😅. Kuna mmoja nilimkuta na Cruiser old model nafikiri alikuwa anaenda kama 120kph nikaona nitembee nae mara naona kaongeza 130 mara 140 sasa gari lenyewe halina pulling nikaona mjinga huyu nikapita nikapotea zangu.
 
Hapo sasa ndio unakanyagia 220 bila stress
IMG_20220828_181852.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hii ina tofauti gani ya ulaji wese na kina 4gr?
Nissan ziko more targeted toward performance kuliko efficiency ukilinganisha na toyota counterparts.

Mfano Fuga 250 na Crown 4GR, Fuga imeizidi HP na torque, wakati Crown ana 6 gears. Consumption ya 4GR ni nzuri kuliko VQ25 both mjini na highway.

Screenshot_20220828-212253_Chrome.jpg
 
Back
Top Bottom