Huyu fuga lastborn, 207HP 2500cc
Kuna fuga ya kati 283HP 3500cc
Na kuna fuga firstborn 328HP 4500cc V8
Trims zinaanzia XV, XVVIP, GT na GT FOUR (4WD)
Zote body na interior ni ile ile, ila engine & trim kubwa zaidi zina more luxury features mfano heated & cooled seats, bluetooth audio (zote zina bt calls), heated & powered rear seats, foldable rear multimedia screen, sunroof, LED rear lights e.t.c
Hiyo 250GT pichani ndio highest trim kwa 2500cc engine
Soko la used hazina bei hizo mkuu, zinaogopwa. Hapo mwenye gari anapewa 6-7M tu, dalali atamshikisha mtu kwa 8M+
Kuna mtu anataka aichukue?