Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 13,481
- 28,116
Mkuu hii ina tofauti gani ya ulaji wese na kina 4gr?Huyu fuga lastborn, 207HP 2500cc
Kuna fuga ya kati 283HP 3500cc
Na kuna fuga firstborn 328HP 4500cc V8
Trims zinaanzia XV, XVVIP, GT na GT FOUR (4WD)
Zote body na interior ni ile ile, ila engine & trim kubwa zaidi zina more luxury features mfano heated & cooled seats, bluetooth audio (zote zina bt calls), heated & powered rear seats, foldable rear multimedia screen, sunroof, LED rear lights e.t.c
Hiyo 250GT pichani ndio highest trim kwa 2500cc engine
Soko la used hazina bei hizo mkuu, zinaogopwa. Hapo mwenye gari anapewa 6-7M tu, dalali atamshikisha mtu kwa 8M+
Kuna mtu anataka aichukue?
Anataka ngapi?Kuna mwanangu ndio anaiuza hiyo
10 mkuuAnataka ngapi?
Pacemaker 😅. Kuna mmoja nilimkuta na Cruiser old model nafikiri alikuwa anaenda kama 120kph nikaona nitembee nae mara naona kaongeza 130 mara 140 sasa gari lenyewe halina pulling nikaona mjinga huyu nikapita nikapotea zangu.Sometime ule upweke unaku boa na kukuslow down so anapokuja mtu kukupitia unaunga msafara unamfanya pacemaker at a safe following distance. Unapata mtu wa kukuangalizia barabara na kukuamsha speed. Ni raha ya road trip na inapunguza sana fatigue usiku.
Cha kuzingatia ni following distance. Kuna madereva hawazingatii kabisa kuacha nafasi. Kwa highway speed ni hatari sana. Nawawashiaga hazard afu naslow down. Nilishagongwa kwa nyuma kutokana na hayo kwahiyo nakuwa aware sana kuangalia nyuma.
Nissan ziko more targeted toward performance kuliko efficiency ukilinganisha na toyota counterparts.Mkuu hii ina tofauti gani ya ulaji wese na kina 4gr?
Atakuwa disappointed10 mkuu
Umeparuka Utwango,na Lumecha,kwa dereva Issa pia mkuuWelldone mkuu na travel safely, ukifika Namtumbo pls piga piga picha nyingi ,na vijiji vyote kati ya Namtumbo na Songea hasa,Lwegu, Kumbara, Litola, Namabengo na Lumecha, pls pls mkuu na tupia humu au PM me
Yes mkuu mtwango loo jirani na NamabengoUmeparuka Utwango,na Lumecha,kwa dereva Issa pia mkuu
Hii bongo kwetu hapa imeshafika!AUDI Q6 pickup 295hp mzigo mpyaa mjeruman yeye ni wa mambio tu!View attachment 2337879
Sent from my BBF100-6 using JamiiForums mobile app
Utwango bhana,Yes mkuu mtwango loo jirani na Namabengo
Bado mkuu hata audi wenyewe wanasema 'they are considering to enter'.Hii bongo kwetu hapa imeshafika!
Ohoooo shukraani sana,binafsi ni mpenzi sana wa F1, na nimesoma sehemu nao hawa wanataka kuingiza gari kwenye F1!,na this year inaonekana Max na Red bull team wameshashinda,mimi ni Red team fanBado mkuu hata audi wenyewe wanasema 'they are considering to enter'.
25O hilo.2490 hilo mzee baba 😀
Sawa mkuu upo right kabisa,Mtwango ipo Mufindi, ukianzia kibao, mgeluka, Lufuna, njia panda ya kwenda kiwanda cha chai then mmmmm Mtwango (driving upande wa Kuja Mafinga)
25O hilo.
Jamaa naona mjerumani kajizatiti kwenye soko la pickup! Hapa sio Amarok, Benz wala Hilux atakaeona ilipopita hio gari.AUDI Q6 pickup 295hp mzigo mpyaa mjeruman yeye ni wa mambio tu!View attachment 2337879
Sent from my BBF100-6 using JamiiForums mobile app
Hawa nao wana mambo ya ajabu. Pick up kazi yake kuu kubeba tools na vitu kama hivyo, sasa ma HP yote hayo ya nini?Jamaa naona mjerumani kajizatiti kwenye soko la pickup! Hapa sio Amarok, Benz wala Hilux atakaeona ilipopita hio gari.