Mahemela_Tz
Senior Member
- Nov 22, 2016
- 178
- 96
New bridge at ruaha kilomberoWatu KAZI WA night to night Niko Ruaha hapa kilombero sasa kuitafuta DSM via kilombero-mikumi then one way to joto city.View attachment 2367092
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
New bridge at ruaha kilomberoWatu KAZI WA night to night Niko Ruaha hapa kilombero sasa kuitafuta DSM via kilombero-mikumi then one way to joto city.View attachment 2367092
Ifakara inaleta mchele Dar kila siku leo hakuna lami? Naona kama sio kipaumbele cha serikali.Ajabu mkuu Yani kipande Chenye lami mikumi_ruaha the Ruaha-mang'ula vumbi kuna seem nimeisahau ulifika ndo kuna lami ukivuka apo adi ifakara kibaoni pale round about vumbi
Serikali haijawahi kuwa na nia ya kuijenga hii barabara.Kule kuna shida, kuna mkandalasi Rccc kama sikosei kitambo anazunguka zunguka tu, sijui halipwi au kuna shida gani
Mkuu nimepita juzi apa sema itakuwa nimekosea kutaja majina ya maeneo Kuna kipande kirefu nimeona Kina lami ma seem nyingine wanakamilishaUna muda mrefu ujapita hii njia. Japo bado sehumu kubwa kuna vumbi. Ruaha Mang'ula mpaka kiberege almost 70% ni lami. Ukitoa kilami uchwara cha Sululu mpaka Signal. Ujenzi unaendelea toka Signal kuunga Ifakara
Yani mbabe ndo anapitaNaona kwa mbaali kuna Toyo, by the way hii daraja naijua ila sijawahi pita usiku.
Kipande kikubwa lami ipo ila naelezea kama unaendelea mbingu Hadi mlimba huko ndo shughuli unayo maaqna lami inaishia ifakara pale kwenye kidaraja Kuna kipande sassiv ndo naona wanakamilisha lami then kingine wanamalizia ishu ni kwmba madaraja,makaravati ndo yamemechelewesha road from ruaha TU ifakara kukamilikaPole ila sasa hivi sehemu kubwa unatembea kwenye lami, mara ya mwisho kupita route hiyo lini?
Mchele supa ni 1900Mchele wanauzaje hapo chief?
Daah nilipita apo night mkuu kama saa 4 ivi mngenshtua kwa comments ningepitia tujumuike tucheki pambano la mister mandongaMkuu ungepita upunguze uchovu kidogo hapa ruaha wadau tupo
Walishasimika nguzo ila nashangaaa tangu January hawaendelei sijui kwnanin eti niliskia tetesi kuwa hili daraja kisa haliendelei ni kuwa Kuna Mzee aliweka vitu vyake hapo akawaambia wachina wachinje sijui ng'ombe ngapi ili maji ya kauke waendelee kwaiyo wachina wakagoma ndo kisa adi Leo maji hayakauki eti kweli mkuu?New bridge at ruaha kilomberoView attachment 2369587
Lami wanakamilisha ila bado kipande kidogo wakamilishe asllilimia 100Ifakara inaleta mchele Dar kila siku leo hakuna lami? Naona kama sio kipaumbele cha serikali.
Huko kulitakiwa kupewe lami miaka 30 iliopita. Chakula kinatoka humo.
Daaah! Huko kwa kupiga pesa mkuu. Singida hadi Kahama grade 2 ni kuanzia 2550 hadi 2700.Mchele supa ni 1900
Hiyo ni bei ya mashineni. Kwenye maduka grade 1 ni mpaka 2500Daaah! Huko kwa kupiga pesa mkuu. Singida hadi Kahama grade 2 ni kuanzia 2550 hadi 2700.
Wamefeli sana 😂😂😂[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] we jamaa hufai!!
Y62 na J300 zinafanana 'makalio'
Duuu huku super Ile top 2000kDaaah! Huko kwa kupiga pesa mkuu. Singida hadi Kahama grade 2 ni kuanzia 2550 hadi 2700.
Yes mchele muache mkulima akoboe bagain nae Bei uzianeni then uugred mwenyewe unapiga ela.Hiyo ni bei ya mashineni. Kwenye maduka grade 1 ni mpaka 2500
Sasa mkuu unanunua mchele walio ugred wenzio unafikl Kuna faida apo koboa mwenyewe uugred mwenyewe ela ndo utaionaHiyo ni bei ya mashineni. Kwenye maduka grade 1 ni mpaka 2500
Wazee wa Vatican wakikupa parokia ujue ushatoboaWakuu oneni hiyo [emoji16] Kuna mtu anatamani hapo ndo angekuwa huyo askofView attachment 2370879View attachment 2370881View attachment 2370880