Again mkuu sio wote wenye magari ndio wana comments hapa, kuna wengine tunatumia public transport, usafiri Safi sanaDah.....wiki hii nataka nijaribu Dar - Moro - Dom kwa baisikeli. Lakini dhamira yangu ni kufika Durban kwa baisikeli......
[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119],[emoji618][emoji618][emoji618][emoji618][emoji618][emoji618][emoji618][emoji618][emoji618][emoji618][emoji618][emoji618][emoji618][emoji618][emoji618][emoji618][emoji618][emoji618][emoji618][emoji618] for you ..Hii ni Kilimanjaro, Moshi vijijini,.Mashamba ya Miwa TPC ukiwa unatoka fonga gate!
Kuelekea sehemu inaitwa Manguzoni..[emoji119][emoji119]Tena hiki kipande cha barabara ya vumbi, nadhani ni kutokea pale kibaoni kuelekea new land kule. Kuna vumbi huko ni balaa
Wanajimilikisha tu bila wogaUnyama sana.... View attachment 2366936
Hizi namba inaonekana ni swaga sasa😂Juzi kati saa tisa usiku nimegumiana nayo moja wameipiga T,,,, AVL rangi kaki
Ubabe tu, imekuwa kama RETRO style 😂Halafu ukiwauliza mbona hii gari mpya namba ya zamani wanabaki kucheka tu!
Duh chuma hiko! Ngoja nikakiamshe kimelala kama miezi 6 sasa
Hizi gari zimekatwa kamba zote zinakamuwa full potentialPatrol vs Patrol ... huyo wa mbele sijui anatembea na speed ngapi... View attachment 2374575
Muhuni alikuwa anaviachia vya kimya kimya 😂😂😂 AC haifui dafuJana nilitoka Arusha kwenda mji mkuu. Safari ilianzia stand kubwa ya chuga. Nilipata wadau WA kupunguza makali yamafuta maana kule ni 3090 petrol.
Safari ilikua nzuri mpaka babati baada ya hapo nilitamani gari ipae iangukie dom. Kama abiria niliobeba watakuwemo humu basi wani samehe bure.
Nyuma walikaa mkaka na mdada wakaelewana Sana maana kumbe wanafanya KAZI Kwa muajiri mmoja. Nilie kaa nae mbele ni born town WA chuga mixer dalali mixer dereva nk nk. Sasa bwana baada ya kusimama babati kupata msosi ndo hapo Hali ya kwenye gari ili badilika.
Abiria alie kaa mbele alisisitiza toka Arusha kwamba AC sio nzuri kiafya pia inaongeza ulaji WA mafuta hivyo izimwe ashushe kioo. Nadhani alijua Hali ya tumbo lake lakini baada ya km kadhaa niliomba nipandishe vioo niwashe Ac maana gari inazuiwa na upepo. Ikawa hivyo mpaka babati
Hapa sasa baada ya Kula tukaendelea na Safari yetu. Ilinibidi Tu nishushe kioo Changu nilishindwa kuvumilia Ile harafu lakini wanyuma wakawa wanalalamika baridi baadae nawao.wakaipata Ile harafu jamaa alikua ana jamba saaaaana non stop alafu hasemi chochote kashikilia handle za juu ya mlango as if gari inapita kwenye mashimo Kwa mwendo WA Kasi.
Tulipo fika kondoa mm nikajifanya Kama nataka niongee na simu so nikasimama ili kutoa nafasi ya yeye kukimbia Chooni lakini wala hakujigusa. Tukaendelea na Safari kabla ya kutika kondoa kuna jamaa walinipita walikua wanakimbizana ilikua ni tako la nyani na Xtrail. Baada ya kuondoka hapo kondoa mbele nilikuta Ile tako la nyani ime pasua Mpira WA mbele kulia Yule alie Kua anakimbizana nae kamuacha.
Hapa nadhani ndio ilikua chance ya huyu jamaa anae Jambo hovyo kuweka Sawa tumbo lake baada ya kusimama Tu yeye ndio alikua wakwanza kushuka na Sisi kidogo Hali ikapoa kwenye gari. Tuka msaidia jamaa kubadili Mpira ule alikua Hana wheel spanner na Yuko pekeake kwenye gari alafu inaonyesha ni mgeni kabisaaaaaaa WA magari maana hata hand brake hajui iko wapi.
Nilitoka saa tisa kasoro kumi nimefika saa mbili usiku. Mpaka sasa Dar to Dodoma kupitia Arusha sina cheti wala sijatoa ya kufutia kiatu. Mungu nimwema tumefika salama.
Waungwana wapi naweza pata vw tiguan battery model ya 2008 hapo dar es salaam.
nilipata, ni N70Battery yake ni kama ya Alphard au? Kale kadogo ka square?
Miaka ya nyuma tulijaribu mimi na rafiki yangu kwenda bagamoyo na mountain bike,tulifanikiwa kwenda na kurudi ila hatukutegemea kwa ule msoto,wakati tunarudi tulipata taabu sana kwa kukinzana na upepo.Kutoka Dar(kijichi) hadi bagamoyo ni approximately km 78 hivi.Ila ile barabara ina nyoka sana,tuliwaona barabarani watatu wamegongwa na magari.It was just a tour, we were ready for any challenges ahead of us.Dah.....wiki hii nataka nijaribu Dar - Moro - Dom kwa baisikeli. Lakini dhamira yangu ni kufika Durban kwa baisikeli......
NimechekaJana nilitoka Arusha kwenda mji mkuu. Safari ilianzia stand kubwa ya chuga. Nilipata wadau WA kupunguza makali yamafuta maana kule ni 3090 petrol.
Safari ilikua nzuri mpaka babati baada ya hapo nilitamani gari ipae iangukie dom. Kama abiria niliobeba watakuwemo humu basi wani samehe bure.
Nyuma walikaa mkaka na mdada wakaelewana Sana maana kumbe wanafanya KAZI Kwa muajiri mmoja. Nilie kaa nae mbele ni born town WA chuga mixer dalali mixer dereva nk nk. Sasa bwana baada ya kusimama babati kupata msosi ndo hapo Hali ya kwenye gari ili badilika.
Abiria alie kaa mbele alisisitiza toka Arusha kwamba AC sio nzuri kiafya pia inaongeza ulaji WA mafuta hivyo izimwe ashushe kioo. Nadhani alijua Hali ya tumbo lake lakini baada ya km kadhaa niliomba nipandishe vioo niwashe Ac maana gari inazuiwa na upepo. Ikawa hivyo mpaka babati
Hapa sasa baada ya Kula tukaendelea na Safari yetu. Ilinibidi Tu nishushe kioo Changu nilishindwa kuvumilia Ile harafu lakini wanyuma wakawa wanalalamika baridi baadae nawao.wakaipata Ile harafu jamaa alikua ana jamba saaaaana non stop alafu hasemi chochote kashikilia handle za juu ya mlango as if gari inapita kwenye mashimo Kwa mwendo WA Kasi.
Tulipo fika kondoa mm nikajifanya Kama nataka niongee na simu so nikasimama ili kutoa nafasi ya yeye kukimbia Chooni lakini wala hakujigusa. Tukaendelea na Safari kabla ya kutika kondoa kuna jamaa walinipita walikua wanakimbizana ilikua ni tako la nyani na Xtrail. Baada ya kuondoka hapo kondoa mbele nilikuta Ile tako la nyani ime pasua Mpira WA mbele kulia Yule alie Kua anakimbizana nae kamuacha.
Hapa nadhani ndio ilikua chance ya huyu jamaa anae Jambo hovyo kuweka Sawa tumbo lake baada ya kusimama Tu yeye ndio alikua wakwanza kushuka na Sisi kidogo Hali ikapoa kwenye gari. Tuka msaidia jamaa kubadili Mpira ule alikua Hana wheel spanner na Yuko pekeake kwenye gari alafu inaonyesha ni mgeni kabisaaaaaaa WA magari maana hata hand brake hajui iko wapi.
Nilitoka saa tisa kasoro kumi nimefika saa mbili usiku. Mpaka sasa Dar to Dodoma kupitia Arusha sina cheti wala sijatoa ya kufutia kiatu. Mungu nimwema tumefika salama.
Mafuta laki ipo nikupitie 😊😊Nani anatoka Mbeya anaenda Dar leo?
Nahiraji lift,nichangie mafuta.
Laki kubwa mno atiMafuta laki ipo nikupitie 😊😊
Mkuu hii ni T1, maeneo umeshamaliza kushuka kitonga pass, nadhani ni mwekezaji mpya huyu masuala ya vyakula na vinywaji, apatangaze sana ikiwa ni pamoja na kuweka mabangoEarlier Friday.. Wazee wa road trip hapo kwenye picha ni wapi?View attachment 2383460View attachment 2383461
Yoooo rafiki yangu anafanya kesho other way round, Dar to Mbeya ila mwombaji lift awe tayari kusafiri usikuNani anatoka Mbeya anaenda Dar leo?
Nahiraji lift,nichangie mafuta.
Asante MkuuYoooo rafiki yangu anafanya kesho other way round, Dar to Mbeya ila mwombaji lift awe tayari kusafiri usiku