Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Walisema macho yangu na pua vina wenge,[emoji16][emoji75]
Wewe kama bro wangu.Dereva hapewi maelekezo anafanya maamuzi yake coz yeye ndo anajua atahandle vp gari, yani maelekezo yakiwa mengi yanamchanganya tu. Yan huwa nachukua sometimes unakuta mtu anakwambia bamsi hilo uku mi hapo mguu upo kwny break nshaliona zamani tu, cjui huoni watu we unakimbiza tu. Mi nakumbuka nilipokuwa driving school mwalimu alinambia ‘’ we unajua gari sema maelekezo mengi ndo maana sometimes yanakuchanganya’’ Na ni kweli nilipoingia road mwenyewe niliona utofauti nikawa nagonga gear vizuri tu, kwanza mi najiamini sana nikiwa naendesha gari mwenyewe kuliko nikiwa nmebeba watu yani kuna mambo fulani huwa cwez fanya ambayo huwa nafanya niliwa peke yangu[emoji23]
Wadada tumekukosea nini jamani.Kweli kabisa ukiwa peke Ako kujiamini ni kwingi fatilia ajali nyingi mbaya za gari linalokuwa na watu wengi Huwa ni ngumu kupona asa SI usiombe upakie Hawa wadada.
[emoji23][emoji23]...kumchangamsha dereva aipende safariNaweza kuomba maji tu.
Nje na hapo hakuna ninachojua.
Kumbe eeh!?[emoji23][emoji23]...kumchangamsha dereva aipende safari
Kuna ajali ilitokea huku kisarawe Costa ya abiria kisarawe-machinga complex kale kasiti kadogo alikaaa mama mmoja kushoto jamaa kulia kama kawaida dereva.Wadada tumekukosea nini jamani.
Wanaume ndio wanaoongoza kwa kutoa maelekezo kwa dereva.
Alishikaje sasa usukani?🥺Kuna ajali ilitokea huku kisarawe Costa ya abiria kisarawe-machinga complex kale kasiti kadogo alikaaa mama mmoja kushoto jamaa kulia kama kawaida dereva.
Gari ikafeli breki mlimani wakati wanashuka waliogundua alikuwa huyo mama na dereva na jamaa wa kushoto mbelee..
Yule mama akapaniki akaanza kupiga kelele na kutaka ashike steering sababu ilikuwa mlimani alafu kuna Kona kalii.....
Kelele zake zikafanya abiria wa nyuma wajue gari imeshafeli mabreki abiria wengine wakapaniki nao bahati mbaya Ile gari.
Dereva alishindwa kui-controll sababu yule mama aliiing'ang'ania na huwezi amini gari Zima alikufa huyo mama TU mara nyingi wanaume Huwaga kimya ata utembee vipi ila wanagugumia ndani Kwa ndani nna shuhuda za ajali nyingi chanzo ni kelele na kupanic kwenu.
Mm wamenikuta mara mbili.Wakuu wa Road trip nani alishakutana na Msafara wa wale jamaa wa B.O.T?
Ilinikuta juzi kati, jamaa hawatembei sana na hawakuruhusu ku overtake.
Wanagari lao lina spika kabisa ukiwakaribia wanakutahadharisha kutoku overtake na usikae karibu.
Ni balaa
[emoji28][emoji28][emoji28]...karibu sanaKumbe eeh!?
Uwe unanipa lift [emoji3059]
Usipende sana kuwafuata...Wakuu wa Road trip nani alishakutana na Msafara wa wale jamaa wa B.O.T?
Ilinikuta juzi kati, jamaa hawatembei sana na hawakuruhusu ku overtake.
Wanagari lao lina spika kabisa ukiwakaribia wanakutahadharisha kutoku overtake na usikae karibu.
Ni balaa
Nimeliona juzi.Ila hii nchi...
Hivi kufunika hapa inahitaji msaada kutoka Ulaya, au ni viongozi tu hawawajibiki...
Hilo shimo huwa linanikera sana lipo pale France Corner Arusha...
Mkurugenzi wa jiji, meya na wengineo wanakula tu viyoyozi ofisini..View attachment 2387394
Nimeshaongozana na misafara ya JWTZ. Hawana noma kabisa. Nimeshaongozana na gari za Ikulu ambazo Rais hayupo. Hawana noma kabisa.Wakuu wa Road trip nani alishakutana na Msafara wa wale jamaa wa B.O.T?
Ilinikuta juzi kati, jamaa hawatembei sana na hawakuruhusu ku overtake.
Wanagari lao lina spika kabisa ukiwakaribia wanakutahadharisha kutoku overtake na usikae karibu.
Ni balaa
Alipanic na kiherehere ndo kilisababishaAlishikaje sasa usukani?[emoji3064]
Asante Mkuu[emoji28][emoji28][emoji28]...karibu sana
Nafikiri huwa inatokea mara chache.Nimeshaongozana na misafara ya JWTZ. Hawana noma kabisa. Nimeshaongozana na gari za Ikulu ambazo Rais hayupo. Hawana noma kabisa.
Sasa hawa BOT naona ni shida. Halafu kwanini wasafirishe pesa kwa barabara? Si watumie ndege na copter?
Naelewa mkuu!!Usipende sana kuwafuata...
Pale kuliwa risasi ya kichwa ni suala la kawaida...na hakuna kesi..
🤣🤣🤣 Sipati picha Daladala ilikuwaje.Mm wamenikuta mara mbili.
Mara ya Kwanza kibaha walimpasua dereva WA daladala. Unajua daladala wanavyo simama wakiwa wanashusha na kupakia. Jamaa hawana masihara kabisaa ukiwasikia wapishe waende.
Mara ya pili bwigiri niliwapisha waende nikasimama robo saa ili waende mbali zaidi.