Sawa mkuuNipe location jioni mkuu
Hawalipi kodi ya kuliingiza. Duty exempted hawa watu. Waamini hawajatoboka parefuWakuu oneni hiyo [emoji16] Kuna mtu anatamani hapo ndo angekuwa huyo askofView attachment 2370879View attachment 2370881View attachment 2370880
Sema kweli mkuu dahh ila askof atakuwa anainjoi sanaHawalipi kodi ya kuliingiza. Duty exempted hawa watu. Waamini hawajatoboka parefu
Sina mbio. Sijagusa 140 safari nzima. Jana nimetoka saa 11 Dar nikalala Lindi saa 5 kasoro.Mzee wa mambio
Safari njema Chief.
dar - moro ( saa moja nusu ), moro - dodoma ( masaa mawili na nusu ), dodoma-singida ( masaa mawili ), singida -shinyanga ( mawili ) , shinyanga - mwanza ( saa moja ) masaa tisa yatoshaEti wakuu kila mtu aelezee experience yake kama tochi hazipo umekabidhiwa hii mashine vxr alafuView attachment 2391934
saka hela chief 😁😁😁😁 hapo uwe na GLS600Sema kweli mkuu dahh ila askof atakuwa anainjoi sana
Kina increasing radius corner. Unavyozidi kuingia inazidi kuwa kali. Ukiikosea kuingia chamgamoto.Ndo hicho nilikuwa nakupa tahadhari mkuu
HongeraSina mbio. Sijagusa 140 safari nzima. Jana nimetoka saa 11 Dar nikalala Lindi saa 5 kasoro.
Leo nikatoka saa 11 Lindi nikafika Songea saa 5 na nusu. Mwendo wa kawaida sana.
Nimestaafu mbio, hazilipi.
Approximately 8hrs up to 9hrs apo ni sawa mkuu Kuna port mmoja ivi anamuenesha mkuu flan ana vxr lc 200 aliniambia dar mwanza 5hrs akiwasha Yale mataa ya juu ya emergencydar - moro ( saa moja nusu ), moro - dodoma ( masaa mawili na nusu ), dodoma-singida ( masaa mawili ), singida -shinyanga ( mawili ) , shinyanga - mwanza ( saa moja ) masaa tisa yatosha
Na mm nina rafiki yangu yupo usalama alitumia masa 6Approximately 8hrs up to 9hrs apo ni sawa mkuu Kuna port mmoja ivi anamuenesha mkuu flan ana vxr lc 200 aliniambia dar mwanza 5hrs akiwasha Yale mataa ya juu ya emergency
Kumbe ni kweli Sasa huo mwendo sijui utakuaje umo ndani.Na mm nina rafiki yangu yupo usalama alitumia masa 6
Pole sana chief, safari imekuwa na majanga kweli... namtumbo to songea pia kuna mbuzi wengi sana barabaraniImpact ya sungura ilifumua tu pumper upande mmoja the rest was intact. Ila wanyama hawakuta kuniacha.
Saa 12 kamili asubuhi, nikiwa kijiji cha mwisho kuingia Masasi, mbwa alikuwa katikati ya lane ya pili ya barabara. Nikaachia mguu nikabana kwangu zaidi niendelee na mambo yangu.
Kumfikia karibu, akaamua avuke barabara kwa kucross upande nnaopita. Akaingia kwenye plate number humo akaibomoa bumper chini.
Ntanunua dashcam ya kurekodi matukio na starehe za road trips.
View attachment 2392125
Hapo ukikuta kumenyesha ndo huwa hapafai kabisa...Kina increasing radius corner. Unavyozidi kuingia inazidi kuwa kali. Ukiikosea kuingia chamgamoto.
Alikujaza upepo tu,hakuna hii kitu kwa njia ya barabara.(Ardhini)Na mm nina rafiki yangu yupo usalama alitumia masa 6
At least masaa 9 Dar,Mwanza unaweza ukatoboa,hapo ujilipue hasa mzeeApproximately 8hrs up to 9hrs apo ni sawa mkuu Kuna port mmoja ivi anamuenesha mkuu flan ana vxr lc 200 aliniambia dar mwanza 5hrs akiwasha Yale mataa ya juu ya emergency