tutaKupitia na mpenzi wangu Darlin wala usijali😂😂😂Ila jamani.....mimi nipo Mwanza kwa hyo utanambia nikasimame wapi
😒😒😒😒Unajua kuna kitu unanitafuta we mwanaume eeee😒😒
Naona una hamu na mimi weweeee😒😒😒😒😒
niwe na hamu na nani tena kama sio wewe malaika wanguNaona una hamu na mimi weweeee😒
Haya babe wangu nitazimaliza zote🤭niwe na hamu na nani tena kama sio wewe malaika wangu
🤗🤗🤗 roho yangu mieHaya babe wangu nitazimaliza zote🤭
Haiwezekani.Approximately 8hrs up to 9hrs apo ni sawa mkuu Kuna port mmoja ivi anamuenesha mkuu flan ana vxr lc 200 aliniambia dar mwanza 5hrs akiwasha Yale mataa ya juu ya emergency
Mara ya kwanza kabisa niliyumbisha gari hayo maeneo.Pole sana chief, safari imekuwa na majanga kweli... namtumbo to songea pia kuna mbuzi wengi sana barabarani
Njombe nilishapashindwa.Asubuhi ya jana Njombe Town, mjini hapa oana traffic light mbili sasa. Hii ni ya zebra ya stendi ya zamani.View attachment 2392246
Pole sana mkuu, hilo eneo mbuzi ndo mahala pao na huwa wanajichunga wenyeweMara ya kwanza kabisa niliyumbisha gari hayo maeneo.
Nakwepa kundi la mbuzi nipo kama 150 hivi.
Basi miezi nnayoenda huwa siioni barabarani. Huku imepamba barabara haswa.Moshi Jacaranda zipo pia, ukitoka YMCA ukashika njia barabara ya Shanty Town hii ya CCP inayopitiliza mpaka Junction ya hapa karibu na Uhuru Hostel ipo mingi tu. Pia around Shanty Town humo kwenye mitaa kadhaa ipo. Arusha pia in some places ipo, na hii ndio miezi yake ya kuchanua
Kukwepa nako unaweza kuingia pabaya ukajikuta kwenye majanga makubwa zaidi. Labda ufunge tu breki kupunguza total energy ya impact.Mara ya kwanza kabisa niliyumbisha gari hayo maeneo.
Nakwepa kundi la mbuzi nipo kama 150 hivi.
Tuheshimiane jamani [emoji1787] ndege yenyewe inapita huko juu ni mda wa saa moja na dk 30,Na mm nina rafiki yangu yupo usalama alitumia masa 6
Yes hii miti ya Jacaranda ni Inapendeza sana,hasa kipindi cha summer
Tuheshimiane jamani [emoji1787] ndege yenyewe inapita huko juu ni mda wa saa moja na dk 30,
dar - moro ( saa moja nusu ), moro - dodoma ( masaa mawili na nusu ), dodoma-singida ( masaa mawili ), singida -shinyanga ( mawili ) , shinyanga - mwanza ( saa moja ) masaa tisa yatosha
Impact ya sungura ilifumua tu pumper upande mmoja the rest was intact. Ila wanyama hawakuta kuniacha.
Saa 12 kamili asubuhi, nikiwa kijiji cha mwisho kuingia Masasi, mbwa alikuwa katikati ya lane ya pili ya barabara. Nikaachia mguu nikabana kwangu zaidi niendelee na mambo yangu.
Kumfikia karibu, akaamua avuke barabara kwa kucross upande nnaopita. Akaingia kwenye plate number humo akaibomoa bumper chini.
Ntanunua dashcam ya kurekodi matukio na starehe za road trips.
View attachment 2392125
Masaa tisa inawezekana labda uamue kuwa mbishiHuwezi labda upae[emoji3]