Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Approximately 8hrs up to 9hrs apo ni sawa mkuu Kuna port mmoja ivi anamuenesha mkuu flan ana vxr lc 200 aliniambia dar mwanza 5hrs akiwasha Yale mataa ya juu ya emergency
Haiwezekani.

Dar - Mwanza ni 1200 km kwa 5hrs manake anatembea 240kph mwanzo mwisho?

Haiwezekani kabisa.

Kuanzia masaa 8 ni reasonable tena kwa shida mno.
 
Basi miezi nnayoenda huwa siioni barabarani. Huku imepamba barabara haswa.

 

Pole kaka, ungekuwa na gari ya juu bumper lisingeumia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…