Armani William
JF-Expert Member
- Jul 3, 2014
- 248
- 744
[emoji23][emoji23][emoji23] hakuna dereva huo. Huyo atakuwa hana experience ya muda mrefu barabarani. Alivyokaa upande huo ndio huo huo mpaka alipofika kwenye destination yake.Nimeongozana nae umbali mrefu sana nikajiuliza maswali yasio na majibu.
Anachat au kuna pisi humo[emoji23][emoji23][emoji23] hakuna dereva huo. Huyo atakuwa hana experience ya muda mrefu barabarani. Alivyokaa upande huo ndio huo huo mpaka alipofika kwenye destination yake.
Na palivyo porini sometime wanaweka tochiTravel safely, hicho kipande cha kushukia Mafinga zile tuta zinachukuza mno, hivi hii wilaya ina engineers kweli?,ule uchafu unaua suspensions za magari, kila wakati unabidi u break hard na matokeo yake unatumia fuel [emoji618] nyingi, yaani nikiwa na uwezo hizi tuta zote kwenye freeways nitafutilia mbali, badala yake nitajenga fixed speed cameras
Saa 7 very comfortably kwa gari yoyote reasonabli.Pole sana mkuu na hongera Kwa kufika salama. Hivi Kwa MFano ungeondoka Dom SAA moja usiku ingewezekana kufika labda saa Saba hivi au nane?
Ukitaka ku save fuel endesha kwa minimal brakes. Ukiona tuta mbele achia mafuta mapema gari icoast by the time unalifijia tuta iwe ishapunguza momentum yenyewe. Then unaipa mafuta kidogo tu ya kulisogeza mpaka tuta lijalo kwasababu matuta yanakuwaga kwa mafungu.Travel safely, hicho kipande cha kushukia Mafinga zile tuta zinachukuza mno, hivi hii wilaya ina engineers kweli?,ule uchafu unaua suspensions za magari, kila wakati unabidi u break hard na matokeo yake unatumia fuel ⛽ nyingi, yaani nikiwa na uwezo hizi tuta zote kwenye freeways nitafutilia mbali, badala yake nitajenga fixed speed cameras
Nimeuliza, hiyo Puma pickup 85 minutes Dar to Moro, ilikuwa Dar sehemu gani exactly na Moro sehemu gani?Sasa kama mabasi yaliweza kutumia masaa mawili au mawili kasoro dar-moro V8 inashindwaje kutumia huo muda au chini yake,au na wewe ni miongoni mwa wale wanaoamini basi ni zaidi ya gari ndogo huku kigezo kikiwa mzunguko wa tairi![emoji23]
Hongera sana umetembea mkuu...Nimechora O kusini mwa nchi. 2300km trip iliyokuwa na vituo vya site kadha wa kadha. Mungu ni mwema.
View attachment 2399853
Mikoa pekee ambayo hii Fuga haijawahi kukanyaga sasa ni Mtwara, Songwe, Rukwa, Katavi, Kigoma na Kagera.
Travel safely mkuu,fatigue ni tatizo kubwa, ukichoka park na lala mkuu even for 30min, usisuburi macho yajifunge yenyewe,vipicha njiani plsNimeingia dom kutokea dar uelekeo nzega ndo naanza sasa sijui ntafika saa ngapi. Dua zenu wadau
Travel safely mkuu,fatigue ni tatizo kubwa, ukichoka park na lala mkuu even for 30min, usisuburi macho yajifunge yenyewe,vipicha njiani pls
Travel safely mkuu,fatigue ni tatizo kubwa, ukichoka park na lala mkuu even for 30min, usisuburi macho yajifunge yenyewe,vipicha njiani pls
Daaa nyumbani kiomboi-kinalilya [emoji847]Nashukuru nilifika salama saa nane usiku. Picha nimepiga chache sababu ya muda kuendesha. View attachment 2401789
View attachment 2401790
View attachment 2401791
Nafikiri hapo upo misigiri stendi mkuu sindioNashukuru nilifika salama saa nane usiku. Picha nimepiga chache sababu ya muda kuendesha. View attachment 2401789
View attachment 2401790
View attachment 2401791
dereva mpya huyo, gari za kununulia kazini kwa mikopo.Nimeongozana nae umbali mrefu sana nikajiuliza maswali yasio na majibu.
Katikati ya manyoni au itigiMtaalamu wa location,fungua code hiiView attachment 2402784
Naona mitaa ya Singapore hapo safi mkuuNashukuru nilifika salama saa nane usiku. Picha nimepiga chache sababu ya muda kuendesha. View attachment 2401789
View attachment 2401790
View attachment 2401791
Hii itigi kama sikoseiMtaalamu wa location,fungua code hiiView attachment 2402784