Boeing 747
JF-Expert Member
- Mar 30, 2018
- 3,515
- 9,415
Yaani hiyo 20k nilimchangia kwa kuniwekea mafuta kwenye gari langu..[emoji3062][emoji3062]Mkuu si ungemchangia huyu attendant 20k ili aweze kulipa deni?
Nyingine niliiona mtaani kwetu janaLc300 Grsport mtaani kwetuView attachment 2412316
Imepita apa watu tunaitolea macho tuNyingine niliiona mtaani kwetu jana
It's eye Catching
Kwa athlete 3.5 LC haiwezi battle.Hivi unajua ina 415Hp na +65Onm of torque? Anakatiza wapi huyo crown?
Nipo kiongoziTupo mkuu, mapambano yanaendelea
Ataanza kumsifu dereva kumbe hiyo ni roho tofauti[emoji23]Mfano una crown umeumana na hii unajiuliza inaninipitaje hii kumbe mwenzio ana 260[emoji1]View attachment 2412318View attachment 2412317
[emoji16][emoji16] utaskia jamaa anajua kuichezea gariAtaanza kumsifu dereva kumbe hiyo ni roho tofauti[emoji23]
hakuna cha wenye vyeo wala nini. ukatili na mitizamo ya kijinga ya baadhi ya wanajeshi wa tz wanaipata kwa haohao wakubwa zao huko kwenye makambi yao wakati wa training.angalau wenye vyeo wanauelewa na wako wachache
Toyota GAIAMade in Tanzania [emoji125][emoji125]
Sijui ni Touota nini ilee...iko kama Ipsum old model...
Wahuni wameigeuza pick up...[emoji55][emoji55][emoji55][emoji55]View attachment 2413767View attachment 2413768
Yes ...Toyota gaia..Toyota GAIA
Upo na chuma gani mkuuTusomane wadau. Nipo Kondoa kijiji kinaitwa serya natoboa mpaka mongoroma, waama, Dirma mpaka katesh kwa watoto wa zuri.
Barabara huku ni hatarishi mnooo. Hapo kutoka kondoa kwenda Serya ni 13km tuna tumia dakika 45 mpaka lisaa, Kuna mto bubuuu hapo kati hakuna daraja na hakuna maji kwa sasa lakini magari yana nasa hapo kwenye mchanga balaa. Mungu tu . Wenyeji wanasema unaitwa mto bubu sababu maji yake hua hayana kelele yana kuja kimya kimyaaa. Ni shotcut ya kutoka Handeni kwenda kilindi then kiteto mpaka kondoa then katesh mpaka Singida. View attachment 2414216
Jiji halikosi solutionYes ...Toyota gaia..
Inapigwa nzigo wa Kirikuu hapa mjini..[emoji119][emoji119]