hahahaa za Ku unga unga za magomeniAisee! Mbuche za chipolopolo ndio nini?
ulisambaza furaha kwa wengi.Ndio Tsh 50,000/=. Nilikuwa nafuraha, maana kuna dili nilikuwa nafukuzia zaidi ya mwezi, na siku hiyo likawa limetiki.. nilijawa na furaha . Nae nikampa furaha kidogo
Una mshauri vizuri, akigoma kufata ushauri una muacha, apambane na kiburi chake. Inshort jamaa wa mlimani pale ni noma.. na ni kama genge lileupo vizuri,
sasa Mtu anatoka Manyara leo anataka gari leo anaishia kupigwa mbuche za chipolopolo
madogo wanataka 1m+ kwenye ISTUna mshauri vizuri, akigoma kufata ushauri una muacha, apambane na kiburi chake. Inshort jamaa wa mlimani pale ni noma.. na ni kama genge lile
Ni kweli siku hiyo ilikuwa shangwe. Iyo issue ilinitesa sana karibia mwezi hadi nilikuwa sipati usingizi. Alafu siku hiyo ika tiki ghafla tu bila kutegemea, napigiwa simu nikachukue mpungaulisambaza furaha kwa wengi.
Pale sio pa kununua gari kichwa kichwa.. na ukitaka gari ya kununua kutoka kwa mtu, ni vyema ukawa na subira. Tofauti na hapo utapata unachotaka.. 1million kwa IST parefu sanamadogo wanataka 1m+ kwenye IST
hatari sana
Unawaua[emoji2]madogo wanataka 1m+ kwenye IST
hatari sana
Ha ha ha juzi nimepita Makumbusho bus stand nikaona Yale maduka ya simu nikabaki nacheka nakumbuka thread kuhusu Yale maduka humu JFUnawaua[emoji2]
Ndio napita hapa nawaona na mi simu yao mikubwa, nadhani wanakusoma kimya kimya
Yeah..Ha ha ha juzi nimepita Makumbusho bus stand nikaona Yale maduka ya simu nikabaki nacheka nakumbuka thread kuhusu Yale maduka humu JF
wanisamehe tu kwa kweliUnawaua[emoji2]
Ndio napita hapa nawaona na mi simu yao mikubwa, nadhani wanakusoma kimya kimya
Hahahahahah juzi kati nilimkimbia traffic Mbalizi mkoani Mbeya. Niliingia njia nikala kona mbili nikapotea.Jana kuna mmoja kaunga na taa nyekundu external pale akapigwa mkono akavuta,
Jamaa akampandia bodaboda nimeenda kuwakuta wamepaki pale Riverside [emoji23][emoji23]
Traffic wa Daslam siwezi kumkimbia aisee. Bora ale 10 langu tu kuliko kesi za ajabu.Siku hizi ukimkimbia anapanda bodaboda kukufukuzia. Halafu kukimbia traffic police ni issue serious sana. Though sometimes unasimama anazingua
Wako sehemu gani hawa ?wana tamaa sana
mie nikipata mteja na kuna gari pale mlimani simpeleki mteja,
Ila nitamwambia tu gari unayoitaka Ipo sehemu Fulani kama utainunua kwa extra costs ni Sawa,
kama utasubiri tutafute gari nzuri kwa bei halisi,Karibu.
Mlimani City upande wa kushoto ule upande mpaka round about ile kuna gari zimepangwa
Juzi kati nakatiza pale mbezi shule(bagamoyo road)kuna kale ka traffic kifupi chenye machejo kakanipiga mkono,kuweka gari pembeni akakuta kila kitu kipo sawa ikabidi azushe kuwa sikupunguza mwendo kwenye zebra,nikasikitika mpaka akajishtukia ikabidi ale la kumi kuepusha mambo yasiwe mengiTraffic wa Daslam siwezi kumkimbia aisee. Bora ale 10 langu tu kuliko kesi za ajabu.
Ukiwa unatokea mwengeKushoto ukiwa unatoka wapi?
Mwenge uelekeo ubungoKushoto ukiwa unatoka wapi?
Hachelewi kukwambia umebeba bangiKatika mambo ambayo siwezi fanya ni kumkimbia trafic. Hata iwe na issue gani siwezi mkimbia.