Mafian cartel
JF-Expert Member
- Nov 19, 2021
- 3,876
- 7,118
Lambo
Oohh sawa sawaThanks mkuu, huu msiba ulikuwa morogoro nilienda kushiriki kumpumzisha dada yake steve mengele
Aise
Yangu[emoji3]Aise
Mkuu hiyo ni urus au
Ya nani hiyo
Hahaa hongera mkuuYangu[emoji3]
Omba Mungu weka alarm ya kuamka asbh saa 11 omba Mungu akufungulie bila Kuchoka na ukiweza kufunga funga Kwa Siri mtu asijue.Milango itafunguka Mungu anajibu maombiHabarini wakuu ...mm ni kijana ni dreva mzuri ...mdogo wenu naangaaika na connection za kazi za undreva naombeni msaada wenu ...maana kuomba pesa siwezi ila kazi naomba sana ....nisaidieni mdogo wenu
Gmc?Shikamoo pesaView attachment 2432656
Ya mchongo
Usd 80,000= 170,000,000+ 90,000,000 (kuitoa bandari plus ushuru.)Shikamoo pesaView attachment 2432656
Wadada wa SHOKA!Aaah wapi kakangu!! Nataka kuishi!
Kuendesha Kitonga ni pambano la kutosha kwangu mimi.
Na tulikuwa wadada wawili tunasafiri bila mwanaume. So we were extra cautious. Rafiki yangu ndio muoga kuliko mimi, hata kuendesha alikataa.
Haka kajamaa kako bomba sana!Kanaoga hapa Chuga then kanaitafuta Rock City chap View attachment 2422864
Hahahahah jamaa alikubali mzikiHapo kuna katani katani hivi...niliwahi kumnyoosha jamaa ana WISH kipande hicho alinikuta Cate Hotel akabaki kuniangalia tu!