Thanks so much!All the best
Hii ndio Africa, ya kubrashia viatu ni sehemu ya maandalizi ya road trip, police mmoja pale Inyala Pass aliniambia kuwa madereva ni WADAU WAO!Wanachukua ya kubrashia viatu?
Wadau WA maendeleo yao.Hii ndio Africa, ya kubrashia viatu ni sehemu ya maandalizi ya road trip, police mmoja pale Inyala Pass aliniambia kuwa madereva ni WADAU WAO!
Aisee..tuwe makini barabarani hakuna madereva kwa kweli. Kuna mtu anasema anatoka Dar-Mwz (Km 1200) halafu anasema hajui oil zinabadilishwa lini. [emoji28][emoji28] CHIBA OneMwezi wa 12 Tar 17 mwaka jana niliweka Hydrolic oil (gearbox) na nikatoka Dar kwenda Mwanza..Km 1000+
Baada ya hapo Gari imeenda karibu Km 1500 zingine,
December Hyo nilimwaga Engine oil pia na Nikaja tena Kumwaga mwezi wa 9 Mwaka huu..hapo chini ndo aina ya Oil nazotumia...gari Ni Premio X..
Nna safari ya Arusha hivi karibuni, Je natakiwa kubadili hizi oil tena? View attachment 2446313View attachment 2446314
"Aliitoa clutch na brake" ukisikia maneno ya kijiweni ndio haya. HAIWEZEKANI KUENDESHEKA..Automatic bila brake hapana kwa kweli sitaki hata kusikia. Nakumbuka kuna mzee mmoja hivi alikuwa na Landrover 109, ile gari aliitoa brake & clutch pedal.
Tochi zenyewe zimewekwa tu barabarani kwa hio unaweza kupigwa tochi hata mara kumi kama hujui maana zile sio kama hizi za kwetu askari anajificha porini kwa hio wale watu kuchukua hela ya kubrashia viatu ni ngumu inabidi upambane ulipe tuWanachukua ya kubrashia viatu?
Mkuu kwenye hii fani ya Udereva nimegundua ukiacha aina za madereva kielimu kuna madereva wa aina hii pia"Aliitoa clutch na brake" ukisikia maneno ya kijiweni ndio haya. HAIWEZEKANI KUENDESHEKA..
NASEMA HAIWEZEKANIIIIIII.
Kila la kheriDecember 22 ..
Road trip Moshi to lake nyasa bamba bay... Gari Harrier matako ya nyani .. mwenye kujua road ya moshi mpk lake nyasa anipe direction wadau...
Unapita njia gani dodoma au chalinzeDecember 22 ..
Road trip Moshi to lake nyasa bamba bay... Gari Harrier matako ya nyani .. mwenye kujua road ya moshi mpk lake nyasa anipe direction wadau...
Plan nikupita ya dodoma then iringa then njombe then songea nazama bamba bay... kurud ntapitia mbeya.. kama kuna njia nyingine unaweza shareUnapita njia gani dodoma au chalinze
Moshi mpaka makambako road sio mbaya kivile makambako tu songea ndio inatakiwa umakini na ilo tako la nyani na kona sio mchezo.kama unarudia mbeya kutoka kyela kuja uyole napo umakini pia na hizi mvua usije kuingia poriniPlan nikupita ya dodoma then iringa then njombe then songea nazama bamba bay... kurud ntapitia mbeya.. kama kuna njia nyingine unaweza share