Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Moja ya maeneo napenda sana kupiga picha...

Mara ya kwanza kupita hii mahali ni enzi hizo za kina Kwacha, Kiswele na hadi sasa mandhari yake haijawahi badilika...

Hili ndio eneo linalotenganisha nyanda za juu kusini na uwanda wa chini wa pwani, eneo linalotenganisha baridi ya kusini na joto la pwani...

Kitonga moja

View attachment 2442005
Tukipits tu tunavua masweta

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom