Aisee! Tuliomba mvua wacha inyeshe mabwawa yajae.Mvua ya Jana usiku. Road trip umeishia hapo. Umewahi kukuktana na Hali kama hii?
View attachment 2451582
kkutwa j5 nitakuwa napandisha mbeya from Dar...T1 mkuu ila ni mbeya to Dar
Naomba lift Mkuukkutwa j5 nitakuwa napandisha mbeya from Dar...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]duh zali hilo
Safari ya Mbeya haijawahi kuwa fupi.Trip kama hizi huwa zinakuwa fupi sana
Tukipits tu tunavua maswetaMoja ya maeneo napenda sana kupiga picha...
Mara ya kwanza kupita hii mahali ni enzi hizo za kina Kwacha, Kiswele na hadi sasa mandhari yake haijawahi badilika...
Hili ndio eneo linalotenganisha nyanda za juu kusini na uwanda wa chini wa pwani, eneo linalotenganisha baridi ya kusini na joto la pwani...
Kitonga moja
View attachment 2442005
NakuamshaSafari ya Mbeya haijawahi kuwa fupi.
Company yangu ya mchongo tu maana huwa naishia kulala njiani.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Ukimaliza tu kushuka huo mlima basi joto linaanza.Kwanini?
Yaani ukifika tu comfot unaanza kusikia hewa moto ukigusa ruaha kuna joto dar ikasomeUkimaliza tu kushuka huo mlima basi joto linaanza.
Pale Ruaha kama pana kiwanda cha kuzalisha joto vile.Yaani ukifika tu comfot unaanza kusikia hewa moto ukigusa ruaha kuna joto dar ikasome
Pale sipaelewi kabisa bahari hamna lile joto linatoka wapiPale Ruaha kama pana kiwanda cha kuzalisha joto vile.
,
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23]Bado ni gari jepesi sanaMalizia mkuu.. tako la nyani... maana harrier zipo za aina nying sana
Barabara ikoje?Kabla ya Pangani mjini Kuna Peponi beach na Bahari Pori, kisha Pangani mjini Kuna Pangadeko.
Ushongo Beach zipo nyingi Kuna Mike's, Ushongo Beach Crab, Emayani na kwa Simon Mzungu. Mbele ya Kipumbwi kama unaenda Mkwaja huko Kuna Kijongo,,Sanje Beaches.
Zamani walikua hawachukui ila wabongo wamewaharibuWanachukua ya kubrashia viatu?
Inapitika kwa gari yoyoteBarabara ikoje?
Inapitika?