ISO M.CodD
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 7,845
- 16,942
Kuna mwamba aliingia 13 hrs. Zamani kulikuwa na ma suka vichaaEeeh?
Haina lawama hiyo, kila mtu anaendelea na safari yakeWamebutuana katikati kwenye barabara ya Mwendokasi.
Boda ameinuka hapo hapo akaanza sukuma pikipiki kuvuka barabara na wakati huo gari zinaendelea kupita.
Sijui ndio kuvurugwa[emoji3064].
Alibeba mitungi ya gas, yote ipo chini na boda imebomoka.
Gari amekimbia.
Alikuwa anachepuka zile barabara ndogo za pale Kimara
Moyo umeenda mbioHaina lawama hiyo, kila mtu anaendelea na safari yake
Eeeh? 😂😂😂😂😂😂😂Kuna mwamba aliingia 13 hrs. Zamani kulikuwa na ma suka vichaa
Nilivyofika Tanga nikarudishia full tank lengo nisiweke wese ndani ya Kenya. Huku ni Ksh 176.5 kama Tzs 3600 hivi. Baada ya misele sasa niko na half tank najua itanifikosha Tanga.Naona unashindana na mshale, ukishuka unaunyanyua
Hii mistake nilifanya wakati naenda Nai, nimeingia Boda na half tank, sikuweza kutoboa kurudi, ikanibidi siku naondoka niweke kama 30lts za kunifikisha Arusha.Nilivyofika Tanga nikarudishia full tank lengo nisiweke wese ndani ya Kenya. Huku ni Ksh 176.5 kama Tzs 3600 hivi. Baada ya misele sasa niko na half tank najua itanifikosha Tanga.
Naomba nikusindize[emoji7]Wakuu kwema? Ule muda wa road trips umefika tena, 'Bad Boy' nishamfanyia service wiki iliopita sasa hivi anahesabu siku tu kabla ya kwenda kuwacharaza wenzie barabarani. Huu mwaka umekuwa mgumu sana i cant wait to hop somewhere quiet for a vacation!
Thank youLong time madam. Welcome back
Yes hili Jina sijawahi kulisikia kwenye uzi huu maalum, karibu sana na bila shaka ombi la kusindikiza litakubaliwa, enjoy your trip madamThank you
Karibu mteja wangu
No ligi ila speed sio tatizo kama barabara zetu zipo byeeeHata wewe mzee wa safety ni shabiki wa ligi?
Rest mkuu tupia picha pls,upo mbali na hapo popatlai sec school?,ningefurahi kupata picha zakeShort break Tanga
It's ok mkuu,travel safely, ukipita kabuku mchana tupia picha kidogo mkuu,nitaka nikimbuke maisha yangu pale mgambo jktNipo mbali
Pole sana mkuu, ki ujumla mkoa wote wa Tanga (Kuanzia mkata mpaka mombo) usijaribu kuonja zile mbuzi choma, wengi wawo sio waaminifu, unaoneshwa nyama nzuri ila unayoletewa/kuandaliwa sio...Jana usiku. From lushoto to dar. Bagamoy road. Nilikula mbuzi mkata nimefika home tumbo linauma mpaka muda huu. Sikukuu njema.
View attachment 2458814
Shukrani sana kaka, nimepata funzoPole sana mkuu, ki ujumla mkoa wote wa Tanga (Kuanzia mkata mpaka mombo) usijaribu kuonja zile mbuzi choma, wengi wawo sio waaminifu, unaoneshwa nyama nzuri ila unayoletewa/kuandaliwa sio...