ISO M.CodD
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 7,845
- 16,942
Pole mkuu sehemu nyingine kula unahitaji uwe na tumbo la kikatoliki.Jana usiku. From lushoto to dar. Bagamoy road. Nilikula mbuzi mkata nimefika home tumbo linauma mpaka muda huu. Sikukuu njema.
View attachment 2458814
Mkuu vacation bomba sana, hongeraBreak joint
View attachment 2458809
Thanks mkuu, mabadiliko sio makubwa sana
Ni kweli mkuu yaani bado kabuku almost ipo vile vile, nimejongo sana pale JKT miaka hiyo nchi Ina heshima na adabu,genda genda sijui kukoje leoHivi vi miji vimedumaa
Dharau hazivumilikiNimerudi...uzalendo ulinishinda kuna vijana walikuwa wananivuta sharubu.View attachment 2459252
yaliwahi kumkuta jamaa yangu baada ya kula mbuzi choma hapohapo mkata akiwa safarini kwenda arusha. aliharisha sana.Jana usiku. From lushoto to dar. Bagamoy road. Nilikula mbuzi mkata nimefika home tumbo linauma mpaka muda huu. Sikukuu njema.
View attachment 2458814
Inaonekana hapo Mkata wanauza sumu sio nyama, bora T1 ule nyama za wamasai pale vijiji vya jirani na DOMAyaliwahi kumkuta jamaa yangu baada ya kula mbuzi choma hapohapo mkata akiwa safarini kwenda arusha. aliharisha sana.
Hatari kaka..yaliwahi kumkuta jamaa yangu baada ya kula mbuzi choma hapohapo mkata akiwa safarini kwenda arusha. aliharisha sana.
Welldone mkuu, kama umepita zile handaki kati ya mpika na Chinsali, salute mkuu
Zambia moja hiyo
Ndola, Friendly City, Mbeya..Jacaranda City!!
Ndio mkuuZambia moja hiyo
Hawa jamaa ni hatar sana,wamejisusa!Mimi ndio maana kupanda it siwezi