Mafian cartel
JF-Expert Member
- Nov 19, 2021
- 3,876
- 7,118
Mpaka gari inafikia stage hiyo ujue haikua na uangaliziGari gani inakaanga engine karne hizi? Gari zote za kisasa ikikosa oil/maji inajizima, haisubiri mpaka engine iungue.
Kama kawaidaa😂😂😂Kama kawaida likitokea tukio sheria zinakumbukwa
View attachment 2462687
Nguvu ya soda.Kama kawaida likitokea tukio sheria zinakumbukwa
View attachment 2462687
toka lini walafi wakawa serious 🥲🥲Hatujawahi kuwa serious.
Dah kwa babu kulee[emoji298]View attachment 2462904
Bila Kusahau ISTTako la Nyani na Crown ni sare ya taifa.
nipo Heka itigi Manyoni KM 70 KUTOKA lami na premio namba C 170K+ KMS niliyonunua kwa mtu na kesho nageuza Dar KM zaidi ya 600 nadhani gari ni Regular maintanance Mileage ni number tu kama unavyosemaMileage ain't nothing but a number...still kicking asses!
View attachment 2463132
Hio Radi vipi mkuu haijapasua kioo kweli[emoji298]View attachment 2462904
Dar to Moro is a nightmare! Wazazi wangu waliendesha wiki iliyopita kwenda Iringa, iliwachukua masaa karibu sita kufika njia panda ya mzumbe. Waliamua kulala Mikumi pale Tanswiss na kuendelea na safari kesho yake ili wasiendeshe usiku. Wanasema kuna foleni sana kutoka Dar to Moro. Watujengee hiyo super highway tulipie bwana.Kipande cha Dar to Moro(roughly 200km)ni sugu mno katika uendeshaji wake, yaani kutumia 4 to 5 hrs ni kitu cha kawaida, napendekeza all trunks zipangiwe muda maalum wa kuingia/kutoka Dar, kusiruhusiwe kupark gari pembezoni mno na hiki kipande, bajaji/bodaboda/pedestrians kuwe na utaratibu mzuri wa matumizi ya T1 hasa Dar to Moro;naona RTO wa Mbeya kaweka utaratibu wa all long distance buses kuwa escorted thr mlima nyoka pass ili madereva wasishindane!,Sauli iwe inawekwa mbele kabisa kwenye foleni!
nikisikia Heka huwa namkumbuka sana mwalimu Sosthenes Makaye,Mungu amlaze mahali pema peponi,Amennipo Heka itigi Manyoni KM 70 KUTOKA lami na premio namba C 170K+ KMS niliyonunua kwa mtu na kesho nageuza Dar KM zaidi ya 600 nadhani gari ni Regular maintanance Mileage ni number tu kama unavyosema