Ni 200km mkuu wanguDar to Moro kilometa ngapi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni 200km mkuu wanguDar to Moro kilometa ngapi
Heka siyo Itigi mkuu,Heka ni Manyoni,halmashauri ya Itigi inagusa mwisho Idodyandole,ila huko Kizigo,Heka,hadi Nkonko sio Itigi tena,ni Manyoninipo Heka itigi Manyoni KM 70 KUTOKA lami na premio namba C 170K+ KMS niliyonunua kwa mtu na kesho nageuza Dar KM zaidi ya 600 nadhani gari ni Regular maintanance Mileage ni number tu kama unavyosema
Inakubidi utoke Dar 4am ili 6am ikukute Morogoro otherwise utatumia at least 4hrs kufika Morogoro.Dar to Moro is a nightmare! Wazazi wangu waliendesha wiki iliyopita kwenda Iringa, iliwachukua masaa karibu sita kufika njia panda ya mzumbe. Waliamua kulala Mikumi pale Tanswiss na kuendelea na safari kesho yake ili wasiendeshe usiku. Wanasema kuna foleni sana kutoka Dar to Moro. Watujengee hiyo super highway tulipie bwana.
Quick and effective solution ya kuondoa kero ni kujenga hio expressway ya kulipia. Maanake useme uanze kutanua hio na magari yanaendelea kutumia Dar-Moro itakuwa 8hrsKipande cha Dar to Moro(roughly 200km)ni sugu mno katika uendeshaji wake, yaani kutumia 4 to 5 hrs ni kitu cha kawaida, napendekeza all trunks zipangiwe muda maalum wa kuingia/kutoka Dar, kusiruhusiwe kupark gari pembezoni mno na hiki kipande, bajaji/bodaboda/pedestrians kuwe na utaratibu mzuri wa matumizi ya T1 hasa Dar to Moro;naona RTO wa Mbeya kaweka utaratibu wa all long distance buses kuwa escorted thr mlima nyoka pass ili madereva wasishindane!,Sauli iwe inawekwa mbele kabisa kwenye foleni!
Na wale wa Vits na Passo wasemaje?Hizi gari kwenye foleni unaweza kuziona 20
Muda hapo ndio ulikusaidia,sasa ondoka Dar muda mwingine sio usiku wa manane, then uje hapa utupe mrejeshoMimi nimetembea Moro to dar 2hrs Nimetoka Mbeya saa 8 mchana nimeingia moro Saa 5 usiku, Saa 7 usiku nishafika dar. tareh 22.View attachment 2464535
Kulikua hmna magari Mengi njian hata njia ilikua nyeupe sanaMuda hapo ndio ulikusaidia,sasa ondoka Dar muda mwingine sio usiku wa manane, then uje hapa utupe mrejesho
Ndio inavyotakiwa ukibahatisha siku ambazo barabara ni nyeupeMimi nimetembea Moro to dar 2hrs Nimetoka Mbeya saa 8 mchana nimeingia moro Saa 5 usiku, Saa 7 usiku nishafika dar. tareh 22.
Nlikuwa nimechoka leo nimetembelea 14km/l kutoka Arusha mpaka Babati. Kupanda ile milima ndio kukaongeza average.Kiguu na njia
Hicho kipaji sina. Nilijaribu from. Mombasa nikapata around 12k/l kufika border nikapotezewa karibu 2hrs bila sababu ya msingi kutoka hapo nikavuruga utaratibu wote nikaishia 9.9Nlikuwa nimechoka leo nimetembelea 14km/l kutoka Arusha mpaka Babati. Kupanda ile milima ndio kukaongeza average.
Kutembea 70 - 100 sio rahisi. Uchovu ndio uliniwezeshaHicho kipaji sina. Nilijaribu from. Mombasa nikapata around 12k/l kufika border nikapotezewa karibu 2hrs bila sababu ya msingi kutoka hapo nikavuruga utaratibu wote nikaishia 9.9
Utamu wa mbamba bay uanzie mbinga kwenyewe sasa.Road Trip yangu ya tarehe 22/12/2022 from moshi to mbamba Bay Gari Tako la nyani
Safari nilianza saa kumi na mbili asubuh.. taratibu kutoka moshi pemben kukiwa na kvaaaa kubwa na energy drink.. niliamua kupita route ya arusha.. niliingia babati mapema sana nikapata supu ya nguvu ili kvaaa isinisumbue .. maana kvaaa ukinywa bila msosi lazm ikujeruh.. baada ya kupata supu nzito nikaanza safari.. kwanza nilitaka nipite njia ya kateshi then singida mpk manyoni then nidondokee dodoma... njia hii nikaona itakuwa n ndefu sana na pia nilikuwa pekee yangu itanichosha.. nikapita njia ya short kat hapo nikawa nimefika dodoma.. aisee kvaaa inateta sana njaa dodoma pale nikapiga msosi nyama nyama.. then kama kawaida energy drink n kvaaa.. ki ukwel tako la nyani n gari la safari.. ina weakness moja tu ni gari ambalo n jepesi ukiwa speed kuna wakat nilitaman kupakia hata mawe nyuma ya gar ilitu kuongeza uzito
Dodoma nikapita mtera then iringa.. nilipofika iringa ikabid nipumzike nipate kilaji.. nikaona bora nilale kesho niendelee na safar ya kwenda mbamba bay.. pale iringa nikala nyama sana pale.. ile nimeamka asubuh tumbo linauma balaaa full kuhara aiseee dahhhh ikabid nitulie.. mchana ikabid nibadili route niende tu njombe kwa wakwe zangu wa zamani.. kaa pale njombe.. stimu za kufika mbamba Bay zikaisha nikarud zangu moshi...
Next Year lazm nifike mbamba Bay nipande meli nizunguke nyasa.. .. hii Road Trip lazm itimie..then nizunguke ruvuma nitokee dar es salaam. hakika Tako la Nyani ni Gari...
Happy New Year wadau.....
Na kwako pia mkuu...Happy new year kwenu wote....
Mkuu ulikuwa na nani? Kwahio umeendesha ulivyochoka ukaamua kukatisha safari?!Road Trip yangu ya tarehe 22/12/2022 from moshi to mbamba Bay Gari Tako la nyani
Safari nilianza saa kumi na mbili asubuh.. taratibu kutoka moshi pemben kukiwa na kvaaaa kubwa na energy drink.. niliamua kupita route ya arusha.. niliingia babati mapema sana nikapata supu ya nguvu ili kvaaa isinisumbue .. maana kvaaa ukinywa bila msosi lazm ikujeruh.. baada ya kupata supu nzito nikaanza safari.. kwanza nilitaka nipite njia ya kateshi then singida mpk manyoni then nidondokee dodoma... njia hii nikaona itakuwa n ndefu sana na pia nilikuwa pekee yangu itanichosha.. nikapita njia ya short kat hapo nikawa nimefika dodoma.. aisee kvaaa inateta sana njaa dodoma pale nikapiga msosi nyama nyama.. then kama kawaida energy drink n kvaaa.. ki ukwel tako la nyani n gari la safari.. ina weakness moja tu ni gari ambalo n jepesi ukiwa speed kuna wakat nilitaman kupakia hata mawe nyuma ya gar ilitu kuongeza uzito
Dodoma nikapita mtera then iringa.. nilipofika iringa ikabid nipumzike nipate kilaji.. nikaona bora nilale kesho niendelee na safar ya kwenda mbamba bay.. pale iringa nikala nyama sana pale.. ile nimeamka asubuh tumbo linauma balaaa full kuhara aiseee dahhhh ikabid nitulie.. mchana ikabid nibadili route niende tu njombe kwa wakwe zangu wa zamani.. kaa pale njombe.. stimu za kufika mbamba Bay zikaisha nikarud zangu moshi...
Next Year lazm nifike mbamba Bay nipande meli nizunguke nyasa.. .. hii Road Trip lazm itimie..then nizunguke ruvuma nitokee dar es salaam. hakika Tako la Nyani ni Gari...
Happy New Year wadau.....