Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Kazi ya Cruise Control ni ku i command Computer ya kwenye gari imentain soeed unayotaka.

Mf ukiweka cruise control kwenye 40kmph maana yake Engine na mfumo wa gari utalazimika ku maintain hiyo speed bila wewe kufanya chochote zaidi ya kuongoza usukani tu.

Japo ikifika kwenye mlima na ikashindwa kumaintain hiyo 40kmph basi automatically cruise control inajiweka off na speed itapungua na kukuruhusu wewe uiendeshe manually ila ikiwa kwenye cruise control inakunyima wewe dereva kufanya chochote kwenye mfumo wa gear au break au mafuta.

Inatumika zaidi kwenye mtelemko au tambalale ambako ukiisha i set speed unayotaka basi toa mguu kwenye mafuta na break, just relax then acha computer ifanye kazi

Happy 2023!
 
ila ikiwa kwenye cruise control inakunyima wewe dereva kufanya chochote kwenye mfumo wa gear au break au mafuta.

Haikunyimi ila ukikanyaga mafuta au brake cruise inajidisconnect mpaka utakapo resume.

Also cruise control ni less efficient kwenye ulaji wa mafuta kwasababu mfano kwenye milima unaweza ukaiacha gari igain momentum wakati wa kushuka na gravity kisha wakati inapanda ukairuhusu ipunguze speed na kutumia momentum uliyogain kupanda bila kukanyaga mafuta. Hiyo inasave mafuta kuliko cruise ambayo itaslow wakati wa kushuka na kutumia power wakati wa kupanda
 
20230101_140549.jpg


Topography ya mkeka wa Iringa - Igawa inakupa consumption nzuri ukiishi nayo inavyotaka

Hiyo ni average ya 12.2kmpl baada ya km 200 kutoka Iringa
 
Haikunyimi ila ukikanyaga mafuta au brake cruise inajidisconnect mpaka utakapo resume.

Also cruise control ni less efficient kwenye ulaji wa mafuta kwasababu mfano kwenye milima unaweza ukaiacha gari igain momentum wakati wa kushuka na gravity kisha wakati inapanda ukairuhusu ipunguze speed na kutumia momentum uliyogain kupanda bila kukanyaga mafuta. Hiyo inasave mafuta kuliko cruise ambayo itaslow wakati wa kushuka na kutumia power wakati wa kupanda
Cruise nzuri kwenye tambarare tu kama njia ina up and down itakumalizia wese maanake yenyewe inataka kupanda na mwendo ule ule ulioset
 
Anyways, mimi sio mzazi wako na sitaki kukupangia.

Ila nashauri tu, alcohol and driving is very dangerous.

Leo utapatia utajiona mjanja ila kuna siku hutaamini kitakachotokea.
I second you.... Walioweka utaratibu wa don't drink and drive wanajua ... Ni hatari sana coz hata in case of accident or injury hutaweza tibiwa mpaka pombe itoke mwilini.
 
View attachment 2465559

Topography ya mkeka wa Iringa - Igawa inakupa consumption nzuri ukiishi nayo inavyotaka

Hiyo ni average ya 12.2kmpl baada ya km 200 kutoka Iringa
Hivi Road Engineers wa iringa na njombe hadi mbeya hawana uwezo wa kufuatilia mbali yale matuta?hasa kuanzia mafinga hadi igawa, zile tuta zinanitiaga hasira sana
 
Back
Top Bottom