Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Sahihi kabisa. Kuna ligi na misafara.

Ligi fanya na unaowezana nao.

Misafara ndio unaweza ukawa na IST ukaenda na mwenye V8.

Ukipewa msafara ukaleta pigo za ligi ndio watu wanaamua kuku humble. Kila mtu na mbabe wake.
Kweli mkuu watu wanachanganya Msafara na ligi halafu kinachowakuta kinabaki siri yao[emoji28]
 
Nilimfanyia mtu roho mbaya juzi hapa. Crown nyeupe DYA barabara ya Babati - Dom. Kanikuta naovertake lori kanikalia kooni nimpishe nikasogea mdogo mdogo akasepa kwa jeuri.
Wakati huo nimejisahau kujaza mafuta Babati na sikuwa na uhakika sheli itapatikana wapi, so mdogo mdogo ndo mwendo maana ligi bila wese ni maumivu.

Nimefika Kondoa nikajaza mafuta, jamaa alikuwa amekaa round about kushoto kapaki. Alivyoniona nimepita akaingia kwa nguvu barabarani anifukuzie, mimi nilimkumbuka nikammonitor kwenye side mirror. Barabara yenyewe haina magari huwezi kumsahau mtu.

Kanifikia mpaka kwenye bumper kaanza kuniwashia mataa, ikabidi nimpe anachokihitaji.

Mlima wa kwanza wa pili, mtu hayupo kwenye side mirror. Kitendo cha dakika kama mbili maximum. Milima ile niliigeuza tambarare napanda na 180 ni limiter tu mshale haushuki chini.

Baada ya kuhakikisha haonekani kabisa, nikarudi mwendo wangu wa 100 - 120, aliponifikia nikamwacha maana alikuwa hapoi, ila nilihakikisha ujumbe ameupata. Hata kama nina budget mafuta usinifanyie dharau.
Chief unapanda mlima na 180 ni mlima au mwinuko?
 
Nzito zimegoma kupanda
 

Attachments

  • PXL_20230105_133259377.jpg
    PXL_20230105_133259377.jpg
    988.8 KB · Views: 22
Back
Top Bottom