Mafian cartel
JF-Expert Member
- Nov 19, 2021
- 3,876
- 7,118
Kweli mkuu watu wanachanganya Msafara na ligi halafu kinachowakuta kinabaki siri yao[emoji28]Sahihi kabisa. Kuna ligi na misafara.
Ligi fanya na unaowezana nao.
Misafara ndio unaweza ukawa na IST ukaenda na mwenye V8.
Ukipewa msafara ukaleta pigo za ligi ndio watu wanaamua kuku humble. Kila mtu na mbabe wake.
View from the windshieldHizi view ni tamu jamanii
Chief unapanda mlima na 180 ni mlima au mwinuko?Nilimfanyia mtu roho mbaya juzi hapa. Crown nyeupe DYA barabara ya Babati - Dom. Kanikuta naovertake lori kanikalia kooni nimpishe nikasogea mdogo mdogo akasepa kwa jeuri.
Wakati huo nimejisahau kujaza mafuta Babati na sikuwa na uhakika sheli itapatikana wapi, so mdogo mdogo ndo mwendo maana ligi bila wese ni maumivu.
Nimefika Kondoa nikajaza mafuta, jamaa alikuwa amekaa round about kushoto kapaki. Alivyoniona nimepita akaingia kwa nguvu barabarani anifukuzie, mimi nilimkumbuka nikammonitor kwenye side mirror. Barabara yenyewe haina magari huwezi kumsahau mtu.
Kanifikia mpaka kwenye bumper kaanza kuniwashia mataa, ikabidi nimpe anachokihitaji.
Mlima wa kwanza wa pili, mtu hayupo kwenye side mirror. Kitendo cha dakika kama mbili maximum. Milima ile niliigeuza tambarare napanda na 180 ni limiter tu mshale haushuki chini.
Baada ya kuhakikisha haonekani kabisa, nikarudi mwendo wangu wa 100 - 120, aliponifikia nikamwacha maana alikuwa hapoi, ila nilihakikisha ujumbe ameupata. Hata kama nina budget mafuta usinifanyie dharau.
Hii ruaha baada ya kutoka daraja mbili sioHizi view ni tamu jamanii
Mbona ni kawaida sana watu kila siku wanapanda Ubena na visahaniChief unapanda mlima na 180 ni mlima au mwinuko?
Sijakariri vizuri haya maeneo mkuuHii ruaha baada ya kutoka daraja mbili
Kwenye zile blind corner kinaweza kukupata kitu. Watu wanaovatekigi muleBack then nilikua muoga sana haya maeneo, ila sahivi navopita kama sio mimi...kitongaaa
Tena giza likiingia ndio kabisa watu hawajui kama kunasheriaKwenye zile blind corner kinaweza kukupata kitu. Watu wanaovatekigi mule
Yaaah mule huwa siendi kichwa kichwa, mwezi uliopita tanker linateremka usiku liko tupu jamaa anashuka tu hovyo aloo yani kidogo kiumane sema alijua kosa akarudi nyuma mapemaaKwenye zile blind corner kinaweza kukupata kitu. Watu wanaovatekigi mule
Malori aloo na IT humu sio kawaida wale jamaa...utafikiri sio wanadamuTena giza likiingia ndio kabisa watu hawajui kama kunasheria
Bora giza likiingia sababu utaona taa.Tena giza likiingia ndio kabisa watu hawajui kama kunasheria
Ndio uka sehem yako maana ukiiba tu unakula pasi maana watu wanashuka na ukaliBora giza likiingia sababu utaona taa.
Naona unashuka barabara ya veta mitaa ya holidayMjini kabisaa, Iraa...
Chuma hio ni balaaHii chuma ninayo namba BQT nmeiweka garage kwa ajili ya kusaidia vijana ila nimeielewa sana wallah.View attachment 2466079
Hiyo ya yako imenyooka sana mkuu, ukitaka kuisukuma niambie nikuvue tu.Chuma hio ni balaa
Soon mkuu nimepanga kuisukuma, we nivue tu mkuu... Itakua bahati ykoHiyo ya yako imenyooka sana mkuu, ukitaka kuisukuma niambie nikuvue tu.
Huu mkeka umesukwa safi sanaUtamu wa mbamba bay uanzie mbinga kwenyewe sasa.
Zile kona zilivyotengenezwa mpaka raha.