ISO M.CodD
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 7,845
- 16,942
Pole mkuu. Sipati picha.Majanga ya road, imechomoka cv jointView attachment 2490996
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole mkuu. Sipati picha.Majanga ya road, imechomoka cv jointView attachment 2490996
Kwanini wanayapark? Labda huko ulipo. Nilipo mimi ukiondoq IST gari zilizozagaa sana ni Crown grs180.Hizo Crown sio nyingi sana kati ya hizo gari tatu ulizotaja. Crown watu wengi wanagundua waliingia chaka kuyanunua kwa hiyo wanaishia kuyapark tu au kutoka nayo siku moja moja. IST na Harrier ni hatari hapa mjini.
Duh pole sana! Cv joint imechomokaje? Umegonga kitu au umepiga shimo?Majanga ya road, imechomoka cv jointView attachment 2490996
Nilikuwa mwendo mdogo nimekata kona kali ikaachia kabisaDuh pole sana! Cv joint imechomokaje? Umegonga kitu au umepiga shimo?
Hongera usisahau kunialika kwa graduYeaaah finalist dear cc, [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
We jamaa unakunywa kitoko mixer na kvaaa?[emoji28][emoji28][emoji28] Mzee baba umetisha hiyo kitoko ni noma sana niliwahi kunywa mara moja sikurudia tena.baridi ya Makambako.
don't drink and drive.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2488971
Temperature iko safi kabisa si unaona ipo kwenye C (cold) hapo ni safari na muziki mwanzo mwishoHio temperature vipi?
Full kuteleza ukifika Dumila unakunja uelekeo wa kilosa, nilipita hiyo road mwaka jana mwezi juni. Ilikua Dar to Kilosa via DumilaDom to Kilosa this morning! View attachment 2489706
Kwamba ulivyofika Kilosa ukapita ile road ya kilosa to mikumi then from mikumi ukasongesha hadi Njombe ama?Wadau wa njombe nipo hillside hotel anayejua maduka makubwa ya spares za magari kwa hapa nipmView attachment 2490930
Enjoy mkuu huo mkate, ngano ya kikinga hiyo!!Wadau wa njombe nipo hillside hotel anayejua maduka makubwa ya spares za magari kwa hapa nipmView attachment 2490930
Daaah! BalaaEnjoy mkuu huo mkate, ngano ya kikinga hiyo!!
Hii mikate mkuu ukiila siku nzima husikii njaa, T1 unaipitia pale makambako, ukiipiga njiani humo ni maji na monsters energy drinks tu!Daaah! Balaa
Hakuna gari nzima ina COLD temperature. Temperature inatakiwa iwe katikati. Hio inawezekana wametoa thermostat which is wrong. The car is running rich.Temperature iko safi kabisa si unaona ipo kwenye C (cold) hapo ni safari na muziki mwanzo mwisho
We jamaa mtata sio poaSafari na muziki[emoji41]View attachment 2491659
Bro usikariri Mie gari yangu nzima na kuna muda inasoma 19⁰C hapo inakua haiko nusu kama unavyosema kwa hiyo ni wrong?Hakuna gari nzima ina COLD temperature. Temperature inatakiwa iwe katikati. Hio inawezekana wametoa thermostat which is wrong. The car is running rich.