Mkuu along T1 hyo umemaanisha nn? Nijipatie hyo data [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mmmmmm yam yam ,wakuu zile ndizi kutokea mkoa wa mbeya, ambazo zinaliwa zikiwa mbivu na rangi yake ilikua purple ,nitazipata wapi along T1?,shape yake ni nene kulinganisha na hizo kwenye picha hapo juu, itakayenipa location za kuzipata na nikazipata, nitamtumia shs za kununua data
From here to anywhereFrom wapi to where?
Hiyo hapo ni zile hino za engine nyuma [emoji115]Coaster iko wapi? Hadi truck ichakae hivyo sijui hio Coaster ina hali gani.
Mzee umeamkia waswanu?Dom to Kilosa this morning! View attachment 2489706
Wapi ninaweza kununua hizi ndizi kuanzia Tunduma hadi Dar?,before zilikua nyingi sana pale kuanzia tunduma hadi mbeya hasa mlowo, vwawa, but zimepotea kabisa(T1 ni Jina la highway yetu kutoka Dar hadi Tunduma OSBP)Mkuu along T1 hyo umemaanisha nn? Nijipatie hyo data [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
Hizi hizi tankers za Meru mbona tatizo?,last time moja nayo iliondoka na watu wanne nje kidogo ya Mkushi, eneo safi, tambarare,kisa fatigue kwa dereva, a naendesha huku amelala!,wazee wa road trip hasa usiku ukishaanza kuona mitaa yenye mataa porini please park and rest, mchana ukishaanza kujishika kisogo pls park and restInyala hapo kimeumana meru tanker na coaster super rojaView attachment 2492360
Mkuu hapo utapata pale uyole stand ya Usangu mkuu ata ukitembea tembea maeneo ya itewe stand utapata hapoWapi ninaweza kununua hizi ndizi kuanzia Tunduma hadi Dar?,before zilikua nyingi sana pale kuanzia tunduma hadi mbeya hasa mlowo, vwawa, but zimepotea kabisa(T1 ni Jina la highway yetu kutoka Dar hadi Tunduma OSBP)
Ahsante mkuu,nimekua nazitafuta sana,nikifanikiwa honestly nitakutumia za dataMkuu hapo utapata pale uyole stand ya Usangu mkuu ata ukitembea tembea maeneo ya itewe stand utapata hapo
Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
Poa poa kiongozi ningekuwa Mbeya ningefanya nikutafutie then nikuleteeAhsante mkuu,nimekua nazitafuta sana,nikifanikiwa honestly nitakutumia za data
Nashukuru pia umenipa wapi nianzie kutafuta, halafu mimi ni muumini wa night trips, labda timing yangu pia ni mbovuPoa poa kiongozi ningekuwa Mbeya ningefanya nikutafutie then nikuletee
Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
Unaweza kupata heart attack majibu kama haya[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2492870
Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mwanangu hapo balaa alafu unakuta ni jamaa yako sanaUnaweza kupata heart attack majibu kama haya
Duh, hii HOWO mchina anatengeneza kwa kutumia mabox?? Yan kugongwa na coaster ndo imekuwa nyanga nyang'a hvo????Inyala hapo kimeumana meru tanker na coaster super rojaView attachment 2492360