Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,092
- 53,496
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha asinda msasha. Kwamonu mkuu hangaa? Karibu makiidi Kirya A mbe. Kinabo all the way[emoji91][emoji91][emoji95]nimepanga kwenda kaskazini rombo/mkuu mjini february 2021 inshallah mungu akijalia
kwakuwa hapa kuna wajuvi wa mabasi mazuri ya uhakika naomba kujuzwa hilo tafadhali wakuu
Moshi town, round about ya YMCA ndani ya Nissan Xtrail...[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Kipande kinapoteza muda sana hiko...safari hii nilipita mapema sana hadi rahaHuo muda ungeanzia bagamoyo ungeshapita hata korogwe.
Sent from my SM-A720F using JamiiForums mobile app
Kiwi muhimu buti la afande ling'ae mpaka mkewe ajipakie wanja hapo...Mrejesho...
Kimeo hakikuniangusha...[emoji120]
Na Jana nimerudi Arusha.kwa ajili ya kuendelea na ujenzi wa taifa..
Changamoto pekee Ni Tsh.20,000 ya kiwi baada ya kusimamishwa mara 3 wakati wa kurudi..
"Be Humble"
nangsha tiki nataka kwenda salimia bibi yangu hapo ikuini anipe bless baada ya mahangaiko ya muda mrefu sisterHahaha asinda msasha. Kwamonu mkuu hangaa? Karibu makiidi Kirya A mbe. Kinabo all the way[emoji91][emoji91][emoji95]
sawsaw mkuu nitafuatiliaSijatumia ila nasikia sifa nzuri tu kuwahusu.
Kuna kipindi zilikatazwa kwenye magari ya abiria mabasi na madaladala....sasa sijui kama wanaruhusiwaNgao haijakatazwa, hizo bei inategemea na gari au wapi utanunua, pia mitaani mafundi welding wanazichonga vizuri.
Appreciating..[emoji120][emoji120][emoji120]Poooleee mkuu. Pole sana.
Very sad! Don't trust your car completely while overtaking, Nina experience kidogo in this respect. In 2018, a disaster was about to happen-niliama Lane nikiwa kwenye attempt ya kuovertake basi, Suddenly nikiwa nimeshatoka upande wangu na mahesabu yangu ya distance na kwa uzoefu wa pulling history ya gari nilijiaminisha kwamba gari lililokuwa linakuja mbele lisingeweza kunifikia kabla sijarudi kwenye lane yangu;Men-Gari ilikosa pulling in unexpected way-Nilipress accelerator mpaka chini kwa nguvu na wakati huo nipo kwenye Low gear lakini wapi na jamaa anayekuja kwenye Lane yake anakomaa na speed na kuwasha taa na horn tu-Thanks dereva wa bus alishtukia mchezo akaslow down.Pasipo kuficha kiukweli wiper ilikuja on na ilini distract sana.[emoji1][emoji1][emoji1]we acha tu....
Ilikuwa hivi...sote tunaelekea Arusha, mbele kuna fuso linaenda taratibu,Nyuma ya fuso kuna Arusha Express na nyuma ya hili basi nipo mimi..
Fuso lina mzigo kwa hiyo mwendo ulikuwa kama speed 70 hivi...mazingira yakaruhusu kuovateki, nikakiamsha kikafika 110 kph nikaanza kulipita basi, nilipofika usawa wa dereva wa basi akanigeukia, naye akalitoa ili alipite lile fuso....basi tu niliishia kutolewa nje ya bara bara...jamaa akanipigia tu mahoni...mimi huku gari limeparamia kaukingo kadogo ka kalavati, wakati huo wheelcape imeruka kule, wiper zimewaka zenyewe....
Yaani yule fala yule...
Sina hamu na mabasi..
Daah. Very sad jaman. Mbona ni wakatili hivi? Hawanaga hata huruma na roho za wengine. Na hivi wao wana bima kubwa balaaUkiwa kwenye hizo SUV unawakazia hizo honi kwetu ni kama beat la mziki. Hakuna basi itayokupa body yeye mwenyewe anaogopa kukwangua gari.
Hizo honi zao,taa,lesi kibao na kutokeza kidogo ukitishika wewe ndio unakuwa muhanga Kwa kuingia pembezoni na kupata ajali, hawa madereva wa mabasi wamesababishia wengi ajali tena Muda WA usiku mtu anakosa control na madhara yanakuwa makubwa.
Uchumi wa kati, viongozi hawajifunzi nchi zilizoendelea zinakabiliana vipi na foleni..Hahahaha
Hao madereva si huwa wanakulaga bure kwenye haya mahotel? Ofcourse hawez nisahau.
Kipande cha bagamoyo kinakera maana unatoka mkuku huko kote ukifika hapo foleni. Tulifika bgamoyo saa 7 na nusu ila hapo dar tumeingia saa 10 kasoro tena na kapricon ya kwanza. Si ujinga huo
Basi najuaga walikataza zaman kweli maana nakumbuka enzi za late 90s haya mascania walikua na mangao makubwaa mno kwahiyo ukijipendekeza anakufumua kweli. Yakakatazwaga kbs. Na ndo miaka nilikua nasafiri kweli na mama na malori kwenda maporiniNgao haijakatazwa, hizo bei inategemea na gari au wapi utanunua, pia mitaani mafundi welding wanazichonga vizuri.
Hivi kilimanjaro express inaendelea na route ya rombo kweli mkuu? Maana ni ruti ngumu sana kwake na dar expressKilimanjaro
Pole sana...mimi huyu dereva wa basi aliamua tu kunikomoa...ninakaribia kumpita ili nilipite lifuso la mbele, jamaa naye akahama lane ili alipiye lile fuso....sikuwa na namna zaidi ya kutafuta lane nyingime ambayo ni majani huko nje ya barabara..Very sad! Don't trust your car completely while overtaking, Nina experience kidogo in this respect. In 2018, a disaster was about to happen-niliama Lane nikiwa kwenye attempt ya kuovertake basi, Suddenly nikiwa nimeshatoka upande wangu na mahesabu yangu ya distance na kwa uzoefu wa pulling history ya gari nilijiaminisha kwamba gari lililokuwa linakuja mbele lisingeweza kunifikia kabla sijarudi kwenye lane yangu;Men-Gari ilikosa pulling in unexpected way-Nilipress accelerator mpaka chini kwa nguvu na wakati huo nipo kwenye Low gear lakini wapi na jamaa anayekuja kwenye Lane yake anakomaa na speed na kuwasha taa na horn tu-Thanks dereva wa bus alishtukia mchezo akaslow down.Pasipo kuficha kiukweli wiper ilikuja on na ilini distract sana.
*Points to note.
-Madereva wengi wa Tanzania ni wapuuzi sana-Mtu unamkuta anakomaa na horn na taa just kwa sababu yupo lane yake badala ya kuangalia jinsi gani anavyoweza help dereva mwenzake kuhakikisha wote wanakuwa salama.
-When driving-Jiridhishe mara mbili mbili ikiwemo kupanga gia mapema in advance for a manual car-Zile overtake za hapa kwa hapa wakati kuna incoming traffic kwenye other lane ni hatari sana hasa gari linapokosa pulling ghafla.
-Ujinga mwingine wa drivers niliouona hapa nchini ni tabia ya mashindano yasiyo na maana na utoto mwingi,unaweza kukuta ume calculate kuovertake gari alafu umeshaanza kuhama kulipita gari lingine then unakuta yule anayepitwa akiona anapitwa anaanza kuongeza speed ghafla ili asipitwe bila kutafakari kwamba anaweza kumuangamiza mwenzake pasina sababu ya msingi.
We need to change.Saidia mwenzako when it is possible.
Watu wanaenda kuchapana bakora mkuu. Kwani unafikiri moja ya excitements za watu kwenda sikukuu unafikiri ni nn?[emoji28]Duh inamaana December hii balaa
Twende pm ndugu yangu[emoji23][emoji23] we ni kaka kabisaaa.nangsha tiki nataka kwenda salimia bibi yangu hapo ikuini anipe bless baada ya mahangaiko ya muda mrefu sister
Gambling Table angetumia Dar Express kama anatokea Rombo kwenda Dsm au EsterSijatumia ila nasikia sifa nzuri tu kuwahusu.
Najua hivyo pia. Na ni zamani sana. Yaan ukikuta mtu ameyaweka yalivyo makubwaaa akikufumua uhai hunaaaa. Mtu anatembea kwa ujasiriiii. Ndo mana waliyakatazaKuna kipindi zilikatazwa kwenye magari ya abiria mabasi na madaladala....sasa sijui kama wanaruhusiwa