😁 😁 😁 ,hizi gari za Subaru zina style nzuri ila machangamoto mengi sana.Duh afadhali nimejua ili siku nikianzisha ugomvi nijue adui ana nguvu gani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😁 😁 😁 ,hizi gari za Subaru zina style nzuri ila machangamoto mengi sana.Duh afadhali nimejua ili siku nikianzisha ugomvi nijue adui ana nguvu gani.
Aisee siku yaki kukuta utajionea mziki na hio 3rd party mkuu.Upo sahihi kabisa Mkuu, yaani haya Mashirika ya Bima hayalipi kabisa km utakutikana na kilevi chochote hata chupa tupu ya kilevi
wengi hawakumbuki kile kisa cha chamaa aliyekuwa akiwaua wake zake kwa kusukuma gari kwenye korongo/ bonde na kwenda kudai Bima,
bora 3rd party na ndio huwa naikata bora kuchunga barabara na madereva wenzako
nimeingia TIRA MIS nakitafuta kipengele hicho cha Comprehensive sijakipata, nakitafuta bado nitakiweka TIRA MIS
Ha ha ha hatari sana. Kuna watu hasa Eastern European wanapenda kufanya kazi masaa mengi sasa ili wasisinzie au kuchoka wanapiga hizo red bull,wengi huwa wanadondoka na kufa ghafla. Anaepona ni yule siku anaenda kulala leo jioni anaamka kesho usiku! Usingizi ukizidi unasinzia huku unatembea(ishanitokea).
Daah we ni roboti jamaa angu [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Unachosema upo sahihi kabisa mkuu. Nimeisha jisoma sana na ndio maana nafanya hivyo.. huwa natumia hizo kama cha ziada, ila hata bila hizo nakesha bila shida kama nimepumzika vya kutosha kabla ya kuanza safari. Usingizi ni swala la brain yako ulivyo i train. Kuna kipindi nakuwa na kazi zangu za kawaida inaweza nichukua hata siku mbili hadi tatu bila hata kufumba macho.. na hata wenzangu kazini huwa nawaeleza hivyo na huwa wana nishangaa sana
Konyagi ina afadhali aiseee,kitu k-vant memory hua inakua formatted.Duh walevi umenikumbusha jamaa wanaokunywa konyagi wanasema inakata memory. Wengi wakiamka asubuhi cha Kwanza anaangalia gari ipo? Akiiona anarudi kulala,hapo hakumbuki barabarani hadi nyumbani ni nini kilitokea!
Kikubwa ni kujisoma na kujielewa tu mkuu. Kwenye brain ndio engine ya mwanadamu.. brain ndio hutuma taarifa katika sehemu zingine za mwili.. ukisha master tu brain yako.. mambo mengine utafanya hadi wengine wakushangae.. brain ni kama software itafanya unavyotaka kama ukisha master na kuielekeza cha kufanya.. ndio maana kila kitu ni tarining tu..Daah we ni roboti jamaa angu [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Punda aliifanya v8 ya mh.Mwigulu nyang'anyang'a sijui saloon car ikimgonga punda itabaki na hali gani?Ni kweli ht mm 1 day nimetoka dom naenda mbeya ucku saa 3 pale mtera nilimkuta punda kati kati ya barabara na kaganda km sanam ikabidi nipite pemben tu!
Nakubali mkuu,mimi pia ni bingwa wa kutokulala barabarani na hata nyumbani inajulikana silalagi.Kikubwa ni kujisoma na kujielewa tu mkuu. Kwenye brain ndio engine ya mwanadamu.. brain ndio hutuma taarifa katika sehemu zingine za mwili.. ukisha master tu brain yako.. mambo mengine utafanya hadi wengine wakushangae.. brain ni kama software itafanya unavyotaka kama ukisha master na kuielekeza cha kufanya.. ndio maana kila kitu ni tarining tu..
Next time jitahidi kuushinda uvivu. Ile road inavutia mnoWewe unanishawishi nipite hio njia. December hii nilipanga nipite huko to Arusha nikapata uvivu!
Ni kweli.Kikubwa ni kujisoma na kujielewa tu mkuu. Kwenye brain ndio engine ya mwanadamu.. brain ndio hutuma taarifa katika sehemu zingine za mwili.. ukisha master tu brain yako.. mambo mengine utafanya hadi wengine wakushangae.. brain ni kama software itafanya unavyotaka kama ukisha master na kuielekeza cha kufanya.. ndio maana kila kitu ni tarining tu..
Inaonekana punda ni mziki mnene.Kuna rafiki yangu huwa anasema gonga mbuzi,ng'ombe ila sio punda!
Kikubwa ni kujisoma na kujielewa tu mkuu. Kwenye brain ndio engine ya mwanadamu.. brain ndio hutuma taarifa katika sehemu zingine za mwili.. ukisha master tu brain yako.. mambo mengine utafanya hadi wengine wakushangae.. brain ni kama software itafanya unavyotaka kama ukisha master na kuielekeza cha kufanya.. ndio maana kila kitu ni tarining tu..
😀😀😀.. masaa nane unalala una raha.. kwa siku nzima nalala masaa manne au matano na wakati mwingine matatu.Kuhani unajitahidi kujitetea. Yan me nisipolala masaa 8 yakatimia, aisee the next day nitahangaika na usingizi ule wa baada ya kushiba.....