Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
You are making obvious mistakes.Ningekuwa wa kulala usiku, ningekuwa nishakulaga muzinga kitambo.. kuna kipindu nishapiga safari.. from dar es salaan to singida usiku hiyo .. then singida to arusha.. nikatoka arusha to chato nikatoka chato nikaingia mwanza.. ndio nikaenda pumzika.. na hiyi ni non stop mzeee
Leo nimepiga kona kama 100 hivi.Kwa mimi sasa hivi mtu ambae anapenda kudrive barabara nzuri
Kwa top ten yangu nai rank barabara ya dom to iringa ndo kali zaidi
Dah kwa wale wapenda konakona
Ila kwa barabara bora zaidi tz niliodrive kuna dar _kyela
Hio inamchanganyiko wa kila kitu wa straights kona na makila kitu....
Hadi maandhari
Watanunua wazee.Volvo limiting top speed
Volvo announced on Monday that it will be limiting the top speed on all of its vehicles to 180 km/h (112 mph) in a bid to reduce traffic fatalities. The new speed limit will be implemented on all model year 2021 cars, the company said
Wazee wa kugonga shimo.......location wapi hii?
Wazee wa kugonga shimo.......location wapi hii?
Mkuu hii barabara ya iringa dodoma iliniharibia tairi.Kwa mimi sasa hivi mtu ambae anapenda kudrive barabara nzuri
Kwa top ten yangu nai rank barabara ya dom to iringa ndo kali zaidi
Dah kwa wale wapenda konakona
Ila kwa barabara bora zaidi tz niliodrive kuna dar _kyela
Hio inamchanganyiko wa kila kitu wa straights kona na makila kitu....
Hadi maandhari
Duuh we ni noma mkuu, itabidi siku nikuvizie tusafiri pamoja maana mimi gari za mbio nyingi ndo zangu.mkuu kwa usiku nikiwa na Subaru forester au Lexus rx300 huwa natumia masaa 7 Dar-mbeya...
Kuwa mwangalifu na mabonde na konaLeo naenda kutembea Upareni.
Sehemu inaitwa Usangi.
Nitatuma picha nikipata wasaa.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] mie cha kwanza mazingira, cha pili lazima nipaki pembeni nishangae kidogo.. maana mie uzuri wangu huwa sisafiri na mtu.. na enjoy sana nikiwemo mwenye kwenye gari na nikuwa huru sana
Duh km 500+ peke yangu sijui kama nitaweza
[emoji3][emoji3][emoji3] masharti ya mganga sio!!
Kusema ukweli mimi huwa na bet,Upo sahihi kabisa Mkuu, yaani haya Mashirika ya Bima hayalipi kabisa km utakutikana na kilevi chochote hata chupa tupu ya kilevi
wengi hawakumbuki kile kisa cha chamaa aliyekuwa akiwaua wake zake kwa kusukuma gari kwenye korongo/ bonde na kwenda kudai Bima,
bora 3rd party na ndio huwa naikata bora kuchunga barabara na madereva wenzako
nimeingia TIRA MIS nakitafuta kipengele hicho cha Comprehensive sijakipata, nakitafuta bado nitakiweka TIRA MIS
Unasimama unasema tukachimbe dawaAiseee kusafiri peke yako ni mzuka zaidi,kuna muda unataka kujamba unashindwa kisa una abiria ndani,au unajamba zako kimyakimya unashangaa tu kaharufu kameibuka tu mara uhangaike kushusha kioo,mara uwashe a/c na hapo ndio balaa zaidi.
Na usipojamba njia nzima utafika tumbo limejaa gas/mifuzi,au nasema uongo ndg zangu?
Situation kama hio hua mnai handle vipi mkiwa na abiria wakuu.
Hahah it depends utakuwa upo na nani, kama ni sweetie kwanini uogope? Kama ni abiria shusha kwanza vioo then jiachie kimya kimya ama ukihisi ni gesi nyingi unasimamisha unaomba udhuru wa kuchimba dawa.Aiseee kusafiri peke yako ni mzuka zaidi,kuna muda unataka kujamba unashindwa kisa una abiria ndani,au unajamba zako kimyakimya unashangaa tu kaharufu kameibuka tu mara uhangaike kushusha kioo,mara uwashe a/c na hapo ndio balaa zaidi.
Na usipojamba njia nzima utafika tumbo limejaa gas/mifuzi,au nasema uongo ndg zangu?
Situation kama hio hua mnai handle vipi mkiwa na abiria wakuu.
😀😀😀😀😀 kuna vibe la safari ya peke yako kwenye gari.. hasa kwa siw wengine popote kambi... umeisha elewa 😀😀😀Aiseee kusafiri peke yako ni mzuka zaidi,kuna muda unataka kujamba unashindwa kisa una abiria ndani,au unajamba zako kimyakimya unashangaa tu kaharufu kameibuka tu mara uhangaike kushusha kioo,mara uwashe a/c na hapo ndio balaa zaidi.
Na usipojamba njia nzima utafika tumbo limejaa gas/mifuzi,au nasema uongo ndg zangu?
Situation kama hio hua mnai handle vipi mkiwa na abiria wakuu.
Huwa naamini Mungu ananilinda tu. Na sio umakini au lolote. Mungu huniepushaYou are making obvious mistakes.
Kuwa makini sawa. Barabarani ni hatari sana.
Hakuna mazoea na barabara.
I thought hiyo kwa South Africa tu!Volvo limiting top speed
Volvo announced on Monday that it will be limiting the top speed on all of its vehicles to 180 km/h (112 mph) in a bid to reduce traffic fatalities. The new speed limit will be implemented on all model year 2021 cars, the company said
Aiseee kule Usangi kuna siku tulikuwa tunasafiri usiku tukawa tunaona kwa mbali mataa yanawaka kwenye ile milima mirefu juu kabisa tukabaki tu kushangaa inakuwaje watu wanajenga juu kote kule wanatafuta niniLeo naenda kutembea Upareni.
Sehemu inaitwa Usangi.
Nitatuma picha nikipata wasaa.
Nimerudi salama salimini.Kuwa mwangalifu na mabonde na kona
Duh umenichekesha sana....uzi wote changamoto hio hatukuijadili....Au nasema uongo ndugu zangu?!Aiseee kusafiri peke yako ni mzuka zaidi,kuna muda unataka kujamba unashindwa kisa una abiria ndani,au unajamba zako kimyakimya unashangaa tu kaharufu kameibuka tu mara uhangaike kushusha kioo,mara uwashe a/c na hapo ndio balaa zaidi.
Na usipojamba njia nzima utafika tumbo limejaa gas/mifuzi,au nasema uongo ndg zangu?
Situation kama hio hua mnai handle vipi mkiwa na abiria wakuu.