Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wapare waheshimiwe.

Leo nimefika Usangi juu kabisa kuna kijiji kinaitwa Kilimanjaro.

Nimeondoka saa 12 asubuhi. Sahivi saa 1 jioni ndo narudi arusha.

Nimetumia nusu tank.

Nimejifunza mengi sana. Wapare wanajua kuishi aisee.

Sijawahi kuona watu wanaishi milimani to that extreme. Sijui wakilewa wanarudije kwao.

Kwa mbali ni ziwa Jipe mpakani na Kenya.
20210119_131127.jpg
20210119_125839.jpg
 
Ningekuwa wa kulala usiku, ningekuwa nishakulaga muzinga kitambo.. kuna kipindu nishapiga safari.. from dar es salaan to singida usiku hiyo .. then singida to arusha.. nikatoka arusha to chato nikatoka chato nikaingia mwanza.. ndio nikaenda pumzika.. na hiyi ni non stop mzeee
You are making obvious mistakes.

Kuwa makini sana. Barabarani ni hatari sana.

Hakuna mazoea na barabara.

Heshimu sana usingizi. Kitendo cha sekunde 3 tunakuita marehemu.
 
Kwa mimi sasa hivi mtu ambae anapenda kudrive barabara nzuri

Kwa top ten yangu nai rank barabara ya dom to iringa ndo kali zaidi
Dah kwa wale wapenda konakona

Ila kwa barabara bora zaidi tz niliodrive kuna dar _kyela
Hio inamchanganyiko wa kila kitu wa straights kona na makila kitu....
Hadi maandhari
Leo nimepiga kona kama 100 hivi.
 
Kwa mimi sasa hivi mtu ambae anapenda kudrive barabara nzuri

Kwa top ten yangu nai rank barabara ya dom to iringa ndo kali zaidi
Dah kwa wale wapenda konakona

Ila kwa barabara bora zaidi tz niliodrive kuna dar _kyela
Hio inamchanganyiko wa kila kitu wa straights kona na makila kitu....
Hadi maandhari
Mkuu hii barabara ya iringa dodoma iliniharibia tairi.
Labla kama wameitengeneza, maana ilikua ni mazoezi ya kukwepa mashimo
 
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] mie cha kwanza mazingira, cha pili lazima nipaki pembeni nishangae kidogo.. maana mie uzuri wangu huwa sisafiri na mtu.. na enjoy sana nikiwemo mwenye kwenye gari na nikuwa huru sana

Duh km 500+ peke yangu sijui kama nitaweza

[emoji3][emoji3][emoji3] masharti ya mganga sio!!

Aiseee kusafiri peke yako ni mzuka zaidi,kuna muda unataka kujamba unashindwa kisa una abiria ndani,au unajamba zako kimyakimya unashangaa tu kaharufu kameibuka tu mara uhangaike kushusha kioo,mara uwashe a/c na hapo ndio balaa zaidi.

Na usipojamba njia nzima utafika tumbo limejaa gas/mifuzi,au nasema uongo ndg zangu?

Situation kama hio hua mnai handle vipi mkiwa na abiria wakuu.
 
Upo sahihi kabisa Mkuu, yaani haya Mashirika ya Bima hayalipi kabisa km utakutikana na kilevi chochote hata chupa tupu ya kilevi
wengi hawakumbuki kile kisa cha chamaa aliyekuwa akiwaua wake zake kwa kusukuma gari kwenye korongo/ bonde na kwenda kudai Bima,
bora 3rd party na ndio huwa naikata bora kuchunga barabara na madereva wenzako
nimeingia TIRA MIS nakitafuta kipengele hicho cha Comprehensive sijakipata, nakitafuta bado nitakiweka TIRA MIS
Kusema ukweli mimi huwa na bet,
Siku yakinikuta kama gharama ni chini ya 1.5M sitajilaumu
 
Aiseee kusafiri peke yako ni mzuka zaidi,kuna muda unataka kujamba unashindwa kisa una abiria ndani,au unajamba zako kimyakimya unashangaa tu kaharufu kameibuka tu mara uhangaike kushusha kioo,mara uwashe a/c na hapo ndio balaa zaidi.

Na usipojamba njia nzima utafika tumbo limejaa gas/mifuzi,au nasema uongo ndg zangu?

Situation kama hio hua mnai handle vipi mkiwa na abiria wakuu.
Unasimama unasema tukachimbe dawa
 
Aiseee kusafiri peke yako ni mzuka zaidi,kuna muda unataka kujamba unashindwa kisa una abiria ndani,au unajamba zako kimyakimya unashangaa tu kaharufu kameibuka tu mara uhangaike kushusha kioo,mara uwashe a/c na hapo ndio balaa zaidi.

Na usipojamba njia nzima utafika tumbo limejaa gas/mifuzi,au nasema uongo ndg zangu?

Situation kama hio hua mnai handle vipi mkiwa na abiria wakuu.
Hahah it depends utakuwa upo na nani, kama ni sweetie kwanini uogope? Kama ni abiria shusha kwanza vioo then jiachie kimya kimya ama ukihisi ni gesi nyingi unasimamisha unaomba udhuru wa kuchimba dawa.


Mimi sioni raha katika kusafiri mwenyewe, labda ndani ndio napendaaa sana kuwa mwenyewe sbb zipendi kuvaa vaa manguo.
 
Aiseee kusafiri peke yako ni mzuka zaidi,kuna muda unataka kujamba unashindwa kisa una abiria ndani,au unajamba zako kimyakimya unashangaa tu kaharufu kameibuka tu mara uhangaike kushusha kioo,mara uwashe a/c na hapo ndio balaa zaidi.

Na usipojamba njia nzima utafika tumbo limejaa gas/mifuzi,au nasema uongo ndg zangu?

Situation kama hio hua mnai handle vipi mkiwa na abiria wakuu.
😀😀😀😀😀 kuna vibe la safari ya peke yako kwenye gari.. hasa kwa siw wengine popote kambi... umeisha elewa 😀😀😀
 
Aiseee kusafiri peke yako ni mzuka zaidi,kuna muda unataka kujamba unashindwa kisa una abiria ndani,au unajamba zako kimyakimya unashangaa tu kaharufu kameibuka tu mara uhangaike kushusha kioo,mara uwashe a/c na hapo ndio balaa zaidi.

Na usipojamba njia nzima utafika tumbo limejaa gas/mifuzi,au nasema uongo ndg zangu?

Situation kama hio hua mnai handle vipi mkiwa na abiria wakuu.
Duh umenichekesha sana....uzi wote changamoto hio hatukuijadili....Au nasema uongo ndugu zangu?!
 
Back
Top Bottom