Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,092
- 53,496
USA gallon 1 = $3.4Hahahahah kumbe ndio maana wanainjoy ma gas guzzlers
UK gallon 1 = $5.79
Nchi kama UK kukuta gari ya 1.5L kitu cha kawaida sana wakati US hawaoni ajabu kununua gari za 5.2L.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
USA gallon 1 = $3.4Hahahahah kumbe ndio maana wanainjoy ma gas guzzlers
Fahari kubwa US ni kuwa na Petrol V8USA gallon 1 = $3.4
UK gallon 1 = $5.79
Nchi kama UK kukuta gari ya 1.5L kitu cha kawaida sana wakati US hawaoni ajabu kununua gari za 5.2L.
Sura mbaya mbaya lakini vyuma vya maana..Hawa jamaa hawajali sana kwenye appearance ya gari.
Noma sana hii mashine mzee..Yeah dodge challenger ni mnyamar sana nahisi ndio yupo kitemi kuliko Tahoe na Escalade
Si mchezo.
Yeah dodge challenger ni mnyamar sana nahisi ndio yupo kitemi kuliko Tahoe na Escalade
Wamarekani wanakwambia only milk comes with 2L.
Mafuta cheap sana kwao kulinganisha na Europeans. Halafu wana hela.
Ndo maana kwao kukuta gari la 7.3L ni kitu cha kawaida sana.
Wana hiyo Ford Mustang shelby gt500 5.
Safi sana chief.MM napenda sana magari ya kimarekani ila ushuru wake hapa ni noma. mwaka 2004 niliagiza gari tatu Dodge Charger, Chrysler 300 na BMW 745i Presidential. Mbona nilikoma pale bandarini ushuru ulikuja milioni 65. TRA walivyonasifa basi. nikayatumia tumia mengine nikawa nabebea harusi. Maana ule ushuru sikuutegemea. mwisho wa siku baada ya miaka mitatu nikayauza yote. ndio nikanunua crown athelete mwaka 2013 nayo nikaa nayo kwa miaka 5 nikaiuza sasa hivi ndio niko kwenye majesta V8 ila bado nissan safari ndio naipenda inamwaka wa 28 sasa.
Hayo magari achana nayo kabisa nimesafiri nayo mpaka kijiji singida huko yapo comfortable balaa. halafu nilikuwa siweki namba yaani traficc akiliona linavyotisha yeye anashangaa wala hanikamati. Hio pua ya mbele tu traffic anaogopa. hahahhahhahahaha
View attachment 1829333
View attachment 1829334
View attachment 1829335
View attachment 1829336
View attachment 1829338
View attachment 1829339
aiseee hivo ni vyuma hatariMM napenda sana magari ya kimarekani ila ushuru wake hapa ni noma. mwaka 2004 niliagiza gari tatu Dodge Charger, Chrysler 300 na BMW 745i Presidential. Mbona nilikoma pale bandarini ushuru ulikuja milioni 65. TRA walivyonasifa basi. nikayatumia tumia mengine nikawa nabebea harusi. Maana ule ushuru sikuutegemea. mwisho wa siku baada ya miaka mitatu nikayauza yote. ndio nikanunua crown athelete mwaka 2013 nayo nikaa nayo kwa miaka 5 nikaiuza sasa hivi ndio niko kwenye majesta V8 ila bado nissan safari ndio naipenda inamwaka wa 28 sasa.
Hayo magari achana nayo kabisa nimesafiri nayo mpaka kijiji singida huko yapo comfortable balaa. halafu nilikuwa siweki namba yaani traficc akiliona linavyotisha yeye anashangaa wala hanikamati. Hio pua ya mbele tu traffic anaogopa. hahahhahhahahaha
View attachment 1829333
View attachment 1829334
View attachment 1829335
View attachment 1829336
View attachment 1829338
View attachment 1829339
Walikua wamarekani nini maana hio tundra ni ya USAaiseee hivo ni vyuma hatari
kutokana na uchache wake barabarani ukiona linapita lazima ugeuze shingo kuya tazama
siku moja nipo maeneo ya kibamba barabara ya morogoro kuna kama kamsafara kalikua na gari 4 nikipishana nazo nakumbuka niliona
dude lime andikwa GMC
kulikua na toyota tundra
pamoja na
Cadillac Escalade
zikiwa zime ongozana kwa pamoja
Miata??😂😂Mi sipendi gari ambazo zipo too official kama hizo RR, bmw 7 series, merc bez s series.
Mi napenda gari za vijana speed and funnier to drive.
nilihisi labda ni watu wa ubalozi wa Us bongo maana vilikua ni vyuma vya hatariWalikua wamarekani nini maana hio tundra ni ya USA
Vyuma vya maana mno.MM napenda sana magari ya kimarekani ila ushuru wake hapa ni noma. mwaka 2004 niliagiza gari tatu Dodge Charger, Chrysler 300 na BMW 745i Presidential. Mbona nilikoma pale bandarini ushuru ulikuja milioni 65. TRA walivyonasifa basi. nikayatumia tumia mengine nikawa nabebea harusi. Maana ule ushuru sikuutegemea. mwisho wa siku baada ya miaka mitatu nikayauza yote. ndio nikanunua crown athelete mwaka 2013 nayo nikaa nayo kwa miaka 5 nikaiuza sasa hivi ndio niko kwenye majesta V8 ila bado nissan safari ndio naipenda inamwaka wa 28 sasa.
Hayo magari achana nayo kabisa nimesafiri nayo mpaka kijiji singida huko yapo comfortable balaa. halafu nilikuwa siweki namba yaani traficc akiliona linavyotisha yeye anashangaa wala hanikamati. Hio pua ya mbele tu traffic anaogopa. hahahhahhahahaha
View attachment 1829333
View attachment 1829334
View attachment 1829335
View attachment 1829336
View attachment 1829338
View attachment 1829339
Badae huenda nikaja Cate kupata kahawa.. kama upepo wa dar usiposomeka sanaMoro moja...short weekend breakView attachment 1830446
Safi mkuuMoro moja...short weekend breakView attachment 1830446
Tushakushindwa [emoji23]Badae huenda nikaja Cate kupata kahawa.. kama upepo wa dar usiposomeka sana