Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

WATU WENGINE NIKUFUATA TU MKUMBO WANANUNUA GARI KWASABABU NJE NIZURI HAWAJUI COST ZA MAINTENANCE NA SERVICE. PIA HAWAJUI ULAJI WA MAFUTA WA GARI. VIJANA WENGI WAMEKIMBILIA CROWN ATHELETE ILA WANAUMIA KWENYE SERVICE NA MAFUTA
Eti inakula mafuta vizuri.....kumbe inabidi uendeshe kama IST yaani huna Uhuru na gari yako!
 
KWANZA SHOCKUP ZAKE NI ZA BOOSTER - GARI INAPANDA NA KUSHUKA. NIKIONA NAKARIBIA SIJUI BARABARA YA VUMBI NABONYEZA TU MZIGO UNAPANDA JUU. HAIJAWAHI KUKWARUZA . MZIGO HUO HAPO MTONGWE. INABIDI SIKU MMOJA NIKTAFUTE TUPIGE DAR ARUSHA KONDOA DODOMA MORO DAR JUST FOR FUN. AU DAR ARUSHA BABATI KATESH SINGIDA DODOMA MORO DAR. MVUA IKINYESHA WIPER ZINAPIGA ZENYEWE MVUA IKIZIDI WIPER ZINAJIONGEZA ZENYEWE. MJAPAN NOMA. PIA INA APP. UKIPAKI SEHEMU INAKUTUMIA UJUMBE KWENYE SIMU KWAMBA UMEPAKI SEHEMU FULANI SAA FULANI NAKAMA HUKUMBUKI UMEPAKI WAPI ITAKUELEKEZA KWENYE SIMU ULIPOPAKI GARI YAKO. NOMA

View attachment 1838087

View attachment 1838097

View attachment 1838098
Asalaleee chuma kweli kweli hiki. Lazima ufurahie trip zako
 
Ongezea na kunya moshi linapokamuliwa milimani

Ongezea na kunya moshi linapokamuliwa milimani!
Kipindi naanza mitkasi nilikuwa naitamani Sana Hilo Y60, nilikuwa nikiliona la tajiri mmoja wa pale Sinza madukani mmiliki wa hotel fulani udenda ulikuwa unanitoka......for now hapana
 
KWANZA SHOCKUP ZAKE NI ZA BOOSTER - GARI INAPANDA NA KUSHUKA. NIKIONA NAKARIBIA SIJUI BARABARA YA VUMBI NABONYEZA TU MZIGO UNAPANDA JUU. HAIJAWAHI KUKWARUZA . MZIGO HUO HAPO MTONGWE. INABIDI SIKU MMOJA NIKTAFUTE TUPIGE DAR ARUSHA KONDOA DODOMA MORO DAR JUST FOR FUN. AU DAR ARUSHA BABATI KATESH SINGIDA DODOMA MORO DAR. MVUA IKINYESHA WIPER ZINAPIGA ZENYEWE MVUA IKIZIDI WIPER ZINAJIONGEZA ZENYEWE. MJAPAN NOMA. PIA INA APP. UKIPAKI SEHEMU INAKUTUMIA UJUMBE KWENYE SIMU KWAMBA UMEPAKI SEHEMU FULANI SAA FULANI NAKAMA HUKUMBUKI UMEPAKI WAPI ITAKUELEKEZA KWENYE SIMU ULIPOPAKI GARI YAKO. NOMA

View attachment 1838087

View attachment 1838097

View attachment 1838098
Will opt hiyo ya Dar Arusha Kondoa ,sawa mzigo umetulia na kuvutia ila nikuachie tuu utambe nalo maana mwenzetu imeshazoea hayo magas guzzler,ikiwa uliyaweza yale madude ya kiamerika hiyo jesta halikutishi
 
Huwa wanadanganywa mafuta kidogo umeme mwingi [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji1787]
Screenshot_20210702_214233.jpg
 
Back
Top Bottom