Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

noted, nitawakilisha maana huwa nakuwa kama nafanya patrol asee.. ila kidimbwi huwa pa kumalizia maana huwa ni [emoji91][emoji91][emoji91] kuna matoto mazuri kama yamejiumba au yalimpa muumbaji prototype namna yawe 🥸
Wakilisha kaka panachangamka,ukienda kidimbwi ni unafunga biashara kabisa kwa wale ambao ni nomads kama mimi, pale kuna balaa zito sana hasa siku ya leo,siku nikirudi town lazima nisogee hapo, viwanja vyangu hivyo, great night aisee
 
Punguza speed kaka hujabeba gunia za carrot humu...

Punguza sauti ya radio/ mziki

Washa AC jamani joto litatuua

Fungeni vioo upepo unatuumiza

Kama nyimbo zako zenyewe ndio hizo zima Bluetooth yako niwashe hii yangu.

Tunasimama wapi kula jamani we kaka njaa zinauma

Pale Himo hawana vyakula vizuri bana tafuta sehemu nyingine

Tunakula nusu saa na kupumzika. Usituwahishe sana

Nk nk [emoji23]
Nakushusha katiksti ya Pori afu nakurudiahia hela yako
 
noted, nitawakilisha maana huwa nakuwa kama nafanya patrol asee.. ila kidimbwi huwa pa kumalizia maana huwa ni [emoji91][emoji91][emoji91] kuna matoto mazuri kama yamejiumba au yalimpa muumbaji prototype namna yawe 🥸
Jumapili kidimbwi ndio penyewe. Mwisho wa matatizo yote yanayohusiana na uvuvi haramu na halali
 
Jumapili kidimbwi ndio penyewe. Mwisho wa matatizo yote yanayohusiana na uvuvi haramu na halali
Vijana mnayaweza mambo yenu.

Mi starehe za kelele sizitaki.

House party ndo nazifanya sana.

Nachoma nyama, nanunua drinks za kutosha, naita washkaji kama 5 mpaka 10.

Tunakula na kunywa, kama kuna match au movies tunaangalia wote. Ikifika saa 2 usiku kila mtu kwake.

Haya ya vidimbwi nadhani yalishanishindaga kitambo sana.
 
Back
Top Bottom