Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Utapanda ngamia wangu 😂😂😂Kwahiyo sisi wenye miguu ya soda sijui ya miwa hatupandi hiyo lift? Asalalee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utapanda ngamia wangu 😂😂😂Kwahiyo sisi wenye miguu ya soda sijui ya miwa hatupandi hiyo lift? Asalalee
Kweli yaniPole sana boss.
Huyo jamaa amekuokoa parefu sana.
Ungechukua namba mkale mbuzi siku ingine.
Hio ishanikuta sema nilipoteza vifuniko vya sehemu ya nati ile! Siku ingine nikasanukia nati zimelegea natoka Tegeta night kali naskia milio ya kama chuma iko loose kumbe fundi tairi hakukaza nati vizuri zikalegeaHiyo inatokea sana ..unaenda fanya service gari..mafundi wanafungua vitu hawarudishi vizuri ndo madhara yake..kama unaweza service fanya siku kadhaa kabla ya safari..siyo unafanya service hadi usiku ili kesho udamshe
Isingekuwa kitu incase ni tyre ya nyuma ila ya mbele ingebaki storyKwa mkasa huu, kwa crown, sipati picha ingekuwaje...
Pole sana mkuu
Vitu laini sana hivi
Juzi nilienda[emoji23]Huwez kuwa serious[emoji28]
Wapigania uhuru tunaanzia mingapi?
Ukiwa na baharia hakuna cha kuogopa.Huogopi usiku mtt mzuri?
Chugga Queen😻Ukiwa na baharia hakuna cha kuogopa.
Ulivyo tu hujafika huko, sio leo wala keshoWapigania uhuru tunaanzia mingapi?
Nilivyo aje? Maandishi yanakuja kujaje kwani? Me namba imetembea mdogo wangu 😂Ulivyo tu hujafika huko, sio leo wala kesho
Mwandiko wa pisi kali huu, wapigania uhuru kwa mujibu mwanzilishi wa neno lenyewe mheshimiwa sana@Extrovert wana mwandiko wao wa kipekeeNilivyo aje? Maandishi yanakuja kujaje kwani? Me namba imetembea mdogo wangu [emoji23]
Mzeeeiya 😂 ingekuwa kwa mbele ningesema umeona pua.Imekaa kama Amazon
Hahahahah Car enthusiast😅Mzeeeiya 😂 ingekuwa kwa mbele ningesema umeona pua.
Ila zinachanganya, pua na taa za mbele me ndio naweza kutofautisha.
Karibu boss... naskia baridi limetulia
Hapana ni mwenyewe.. sikuwa kabisa Dar mkuu wangu.. jamaa anapenda ma mbio nae, nitamlipa mwaka huu 😂😂Holy Man mkuu VW Scirocco naona imepita Coca-cola road mwendo wa Jet Fighter ni wewe unaitoa mafua.