Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wivu huoDada kama dada yaani 😀😀
Kumbe ni shabiki wa uto 😁Wakati wengine wanashikilia usukani,wengine tunashikilia vyuma Kwenye maungio ya mwendokasi[emoji23]
Trip ziendeleeView attachment 1947385View attachment 1947394View attachment 1947395
Ndiyo [emoji23]Kumbe ni shabiki wa uto [emoji16]
Igunga kukaribia Nzega kama sijakosea
Duh! haya mambo tunaishi nayo sanaNimesikia ni Mbeya
Hapa wapi mkuu? Babati? Niko hapo
Ukiwa Hanang ukianza ile logia (low gear)[emoji3]Kuna kazi ya kuuzunguka huo mlima. Nasubiri wauza spea waseme nami kubadilisha bush maana nimezimalizia huku [emoji23][emoji23]View attachment 1947659
Umeng'oa radio kwnye GX100?
Nalala hapo kesho nijionee.Just overrated
T&C s umezipitia? Sio marketing hogwash?Bima ya ajali na maisha
Kuna bima inatolewa kila ukiweka mafuta na kulipia kwa simu (masterpass,lipa namba ya selcom). Mara nyingi huwa natumia njia hii kulipia mafuta kituo cha Puma, tangu wiki tatu zilizopita napata msg ya bima ya bure. Leo nimei download na kuisoma kweli ni insurance cover ya wiki moja inacover ukipata ajali,ulemavu na kupoteza maisha.
Imagine unasafiri unaweka mafuta na unapata extra cover ya ajali na maisha kwa wiki moja bure, sasa mimi naweka mafuta every week ina maana naweza kuwa na bima bure mwaka mzima.
Alhamis/Ijumaa nitakuwa hapoNalala hapo kesho nijionee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] no exceptionsMkuu simu yangu hainaga group hata moja, watu kila wakiniunga nina left [emoji3][emoji3][emoji3]
Naam mkuu... mimi nimekatizia Dareda hapa kilomita kadhaa kutoka Babati. Mwendo wa kutimua vumbi hii barabara ya Dareda - DongobeshUkiwa Hanang ukianza ile logia (low gear)[emoji3]
Kuna mchepuko kulia unaelekea mitaa hiyo ya bonde la ufa
Ndio Bashnet [emoji3][emoji848]