Kashaija72
JF-Expert Member
- May 18, 2020
- 2,225
- 5,258
Fanya fanya mambo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nafikiria nimpe ya nani[emoji16]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fanya fanya mambo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nafikiria nimpe ya nani[emoji16]
Rafiki zangu karibia wote siyo watu wa kwenda hayo maeneo.Fanya fanya mambo
Mbeya ni 🔥🔥🔥🔥🔥Haya hizo ndizo baadhi ya picha nilizopata [emoji16][emoji16]
Kujua jina la sehemu angalia chini kwa details za kila picha [emoji4][emoji4]View attachment 2036073View attachment 2036074View attachment 2036075View attachment 2036076View attachment 2036077View attachment 2036078View attachment 2036079View attachment 2036080
Umekuwa balozi mzuri wa mbeya.Haya hizo ndizo baadhi ya picha nilizopata [emoji16][emoji16]
Kujua jina la sehemu angalia chini kwa details za kila picha [emoji4][emoji4]View attachment 2036073View attachment 2036074View attachment 2036075View attachment 2036076View attachment 2036077View attachment 2036078View attachment 2036079View attachment 2036080
Haha sure hatuko vibaya sana [emoji16][emoji16]Mbeya ni [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Mbeya kwetu mkuu [emoji846][emoji846]Umekuwa balozi mzuri wa mbeya.
Hahaaaaaa, ndiyo maana nkasema tunaeda Kupiga story na kunywa juice.Rafiki zangu karibia wote siyo watu wa kwenda hayo maeneo.
[emoji23][emoji23][emoji23]Magorofa yenye lift yameongezeka?
Mazee, hapo mti hujapambwa bado!!X-mas tree....alisikika Mjapan mmoja akisema! 😂😂
View attachment 2037488
Haya hizo ndizo baadhi ya picha nilizopata [emoji16][emoji16]
Kujua jina la sehemu angalia chini kwa details za kila picha [emoji4][emoji4]View attachment 2036073View attachment 2036074View attachment 2036075View attachment 2036076View attachment 2036077View attachment 2036078View attachment 2036079View attachment 2036080
Mbeya Carnival
City Pub
Mbeya Pazuri
Horizon
P Son
Ngonga
Pamodz
501
Samaki Samaki
Hope Villa
Viva
Mwailubi
Hii Mbeya pazuri juzi kipindi naenda mbeya,niliona usiku kuna mafuriko ya ndinga kali kama kijiji pale nje.
Oohh thank you for the updates. Ila Mbeya Carnival ndiyo kijiwe pendwa namba moja kwa watu wengi mkuu.Pamodz haipo
Mbeya carnival pa ovyo sana
Samaki samaki haipo
Viva pia saiv inaitwa Vibe imepoa sana
Kumbe na wewe mtu wa viwanja sanaOohh thank you for the updates. Ila Mbeya Carnival ndiyo kijiwe pendwa namba moja kwa watu wengi mkuu.
Viva siku hizi inaitwa Seven Spices sijui. By the way mie napapendelea zaidi City Pub, Mbeya Pazuri, Mwailubi na Ngonga.
Oohh thank you for the updates. Ila Mbeya Carnival ndiyo kijiwe pendwa namba moja kwa watu wengi mkuu.
Viva siku hizi inaitwa Seven Spices sijui. By the way mie napapendelea zaidi City Pub, Mbeya Pazuri, Mwailubi na Ngonga.
Mkuu unaishi Mbeya?