Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Pole sana mkuu natumai unaendelea vizuri. Uwe unajichanganya na watu sasa ili wawe wanakuulizia, maana mbona wengi tunapoteaga na hatuuliziwi na hatujawahi kulalamika, sikuwahi jua kama kuuliziwa na watu wa jf ni deal hivyo.
Nashukuru Sana mkuu.

Nimeweka utani sijalalamika.

Hayo mengine ya Kua deal au sio deal nafunika kombe....

Muhimu uhai na afya njema. Mungu awajalie afya njema.
 
Back
Top Bottom