Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,743
wanaweza kukudanganya.. alafu ujika wanabadili gear anganiUnaenda Ofisini kwao Kisha watakupa makadirio ya Kodi ya gari hiyo ambayo haipo utaulizwa Bei au invoice yake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wanaweza kukudanganya.. alafu ujika wanabadili gear anganiUnaenda Ofisini kwao Kisha watakupa makadirio ya Kodi ya gari hiyo ambayo haipo utaulizwa Bei au invoice yake.
Chukua Beams 2000 kwa RRONDO uitoe mafua,imekaa sana nyumbani pua zimeziba.asee umejuaje hapa nasafari ya mwanza.. sema naondoka jumamosi usiku, jumapili asubuhi kahama.. umelenga 😀😀😀
😀😀😀 itabidi ipashe misuriChukua Beams 2000 kwa RRONDO uitoe mafua,imekaa sana nyumbani pua zimeziba.
Kuna specific formula wanaitumia?Unaenda Ofisini kwao Kisha watakupa makadirio ya Kodi ya gari hiyo ambayo haipo utaulizwa Bei au invoice yake.
Akishaagiza ikafika nchini, akienda TRA wanamgeuka...Unaenda Ofisini kwao Kisha watakupa makadirio ya Kodi ya gari hiyo ambayo haipo utaulizwa Bei au invoice yake.
Ni utashi tu mtu anaamua hii bei fulani,ile bei fulani hakuna kanuni. Nimeweka humu mfano BMW cif 17m lakini kikotoo cha tra kodi 34mKuna specific formula wanaitumia?
Labda mtu kabla hujaagiza gari, unataka ujue atleast kodi itacheza kwenye kiasi gani.
Tufanye umenunua gari la 100M, unataka kujua range hiyo kodi yake itacheza, manake usije nunua gari ukakuta kodi ni mara 3 ya CIF ya hiyo gari.
Ukaishia itekeleza bandarini.
Unaweza hata ukaleta invoice ya hio gari 100m wao wakakwambia bei yetu ni 300m hio yako hatuitambui. Ni ujinga ujinga tu hakuna weledi hata kidogo. Gari Japan zinauzwa $1000-1500 kila mtu anajua hapa ushuru wanaweka 6-10m maana yake nini?Kuna specific formula wanaitumia?
Labda mtu kabla hujaagiza gari, unataka ujue atleast kodi itacheza kwenye kiasi gani.
Tufanye umenunua gari la 100M, unataka kujua range hiyo kodi yake itacheza, manake usije nunua gari ukakuta kodi ni mara 3 ya CIF ya hiyo gari.
Ukaishia itekeleza bandarini.
TRA pumbafu kabisa.Unaweza hata ukaleta invoice ya hio gari 100m wao wakakwambia bei yetu ni 300m hio yako hatuitambui. Ni ujinga ujinga tu hakuna weledi hata kidogo. Gari Japan zinauzwa $1000-1500 kila mtu anajua hapa ushuru wanaweka 6-10m maana yake nini?
Kifupi jiandae kwa lolote.TRA pumbafu kabisa.
Manake mtu anaenunua gari kama Ferrari, Bentley, Aston Martin ategemee kodi mara 3 yake?
Kwamba gari inayouzwa $200,000 kodi yake iwe $600,000. Mzigo unaingia nyumbani $800,000 imekutoka?
Parefu hapo.
Kama huko nyuma niliwahi kukusoma kuwa umeacha safari za usiku yote kwa yote uwe na safari njemaasee umejuaje hapa nasafari ya mwanza.. sema naondoka jumamosi usiku, jumapili asubuhi kahama.. umelenga 😀😀😀
Na kuwa ufupi zaidi ni kuagiza kilichopo kwenye calculator yaoKifupi jiandae kwa lolote.
Usiku safari sio tamu, labda uwe na wanawake tupu kwenye gari alafu wawe pasua kichwa ndio uta enjoy na hutolala.. 😀😀😀Kama huko nyuma niliwahi kukusoma kuwa umeacha safari za usiku yote kwa yote uwe na safari njema
Kuanzia mwezi wa tatu naanza kupiga route non stop.. sema hizi nitakua naishia katika dodoma, kanda ya ziwa yote na kaskazini..Nimepaki hapa dakika 20. Imepita Toyota Progres moja imeiva vibaya mno. Ndio gari pekee iliyopita hapa muda wote huo.
Kuna kimeo nakisolve then nianze trip kuupanda mlima
View attachment 2094113
Kunzombe ulye vitofuNjombe
Kama naona hizo plates sio za bongo?...hii nchi ina vijana wa ajabu sana..
[emoji38][emoji38][emoji38]
Eti wanasema hii Vitz inachuja rangi ikinyeshewa na mvua.....tazama hayo maji hapo chini kwenye paving..[emoji2957][emoji2957]View attachment 2103751
ZambiaKama naona hizo plates sio za bongo?.
Ni lugha yenu? Nilikuwa huko kikaziKunzombe ulye vitofu
Hapana sio lugha yangu, Mimi mwenyewe mgeniNi lugha yenu? Nilikuwa huko kikazi