uran
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 10,392
- 15,948
🤣🤣😂 Wale magari yao ni meusi bana huoni hapo natumia nyeupe?Mkuu uko ile taasisi inayowaweka viongozi wengi madarakani isije kuwa nakufahamu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣😂 Wale magari yao ni meusi bana huoni hapo natumia nyeupe?Mkuu uko ile taasisi inayowaweka viongozi wengi madarakani isije kuwa nakufahamu
JF wote pisi kali, wote wana magari na wote maisha bora.jamani naombeni lift naelekea Arusha though siyo pisi kali
Old baba ya 2002
Mmeanza tajana 😄😄😄Mkuu uko ile taasisi inayowaweka viongozi wengi madarakani isije kuwa nakufahamu
Haha hata wale ni meupe au hujaipata taasisi ninayozungumzia[emoji1787][emoji1787][emoji23] Wale magari yao ni meusi bana huoni hapo natumia nyeupe?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mmeanza tajana [emoji1][emoji1][emoji1]
Mnafahamiana 🙂🙂🙂[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Hebu huko halafu wala hata sihusiki huko
Nawafahamu tu baadhi ya watu wanaofanya huko
Basi nitakuwa sijaipata mkuu. 😀😀Haha hata wale ni meupe au hujaipata taasisi ninayozungumzia
Hata sijui jamaa anasema watu gani!!Mmeanza tajana 😄😄😄
Unamaanisha wale waliokuwa na Mahindra wakahamia Hard Top?Haha hata wale ni meupe au hujaipata taasisi ninayozungumzia
Hahaha hapana mkuuUnamaanisha wale waliokuwa na Mahindra wakahamia Hard Top?
Ukipata mdada mara nyingi hawana shida..changamoto kwetu sisi wanaume..Yani mimi huwa sibebi vichwa kabisa coz sitaki usumbufu nmesafiri dar mwanza mara mbili peke yangu
Mdada na mara pap pacha mmmmm utakumbuka abiria wa kiume ni bora!Ukipata mdada mara nyingi hawana shida..changamoto kwetu sisi wanaume..
Unaweza kukuta ananuka jasho, socks, mipombe..yaani hausikii raha kufunga vioo..[emoji19][emoji19]
Hiyo Toyota ilitakiwa iwe na kamzigo nyumaNissan hapa ameidhalilisha toyota vibaya mno