Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
GTP Otaku Kijitonyama mwaka jana wao kulikuwa 3 series wanaiwekea 1JZ-Gtejamaa kaona mambo yasiwe mengi, 1G ndani ya Bimmer. kwa majirani Zambia hapoView attachment 2503591
Welldone mkuu ,umesafiri salama, wazee wa road trip mpo kimya!@Wigelekelo upo kimya mno, pls updates ile Nakonde to Serenje ,hasa pale bwawa la samaki (maana ile sehemu kuiendesha naona kama natazamana na mkata pumzi),Inyala Pass vipi wamefukia yale mashimo na ile de tour imeisha au ndio yale yale?pls hope's zile tuta za Mafinga zimeondolewa!Nimerudi jiji la foleniView attachment 2505713
mafinga tuta zipo kama ulivoziacha, inyala (pipeline) mashimo wamefukia kwa kiasi chake na pia kwa sasa kunakuwa na foleni kama iliyopo pale iwambi, kwamba kuna muda wa kupita malori na muda wa gari ndogo...Welldone mkuu ,umesafiri salama, wazee wa road trip mpo kimya!@Wigelekelo upo kimya mno, pls updates ile Nakonde to Serenje ,hasa pale bwawa la samaki (maana ile sehemu kuiendesha naona kama natazamana na mkata pumzi),Inyala Pass vipi wamefukia yale mashimo na ile de tour imeisha au ndio yale yale?pls hope's zile tuta za Mafinga zimeondolewa!
Thanks mkuu, itabidi nipite pale mafinga under cover of the darkness na kusawazisha uchafu ule, halafu kuna zile rasta mbaya sana unapokaribia tanangozi hadi pale ihemi, loo uchafu ule unaumiza mnomafinga tuta zipo kama ulivoziacha, inyala (pipeline) mashimo wamefukia kwa kiasi chake na pia kwa sasa kunakuwa na foleni kama iliyopo pale iwambi, kwamba kuna muda wa kupita malori na muda wa gari ndogo...
Welldone mkuu ,umesafiri salama, wazee wa road trip mpo kimya!@Wigelekelo upo kimya mno, pls updates ile Nakonde to Serenje ,hasa pale bwawa la samaki (maana ile sehemu kuiendesha naona kama natazamana na mkata pumzi),Inyala Pass vipi wamefukia yale mashimo na ile de tour imeisha au ndio yale yale?pls hope's zile tuta za Mafinga zimeondolewa!
Salamu
Nipo salama mkuu, mwaka umeshageuka tayari ni mchaka mchaka tenaSalamu mkuu
Wewe unaishi barabarani?Dodoma[emoji1696]View attachment 2506680
Yeah huyu mkuu anaikimbiza shilingi kwa kasi ya 5G,welldone Lamar BlacAmerican ,maisha yetu yanategemea kuwa barabarani!,weeee Wigelekelo mrejesho wa nakonde to serenje kama umepita pale muda wa hivi karibuni plsWewe unaishi barabarani?
Hahahaha! Duh! Hamna mzee!Wewe unaishi barabarani?
Wakuu hii ni gari ganii[emoji15]View attachment 2502213
Singida tunakuja kwenu 😊View attachment 2501306
Mkuu unatembea balaa