Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
😂😂😂Field Visit
Ar, Makuyuni, Karatu, Mbulu... View attachment 2592946
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂Field Visit
Ar, Makuyuni, Karatu, Mbulu... View attachment 2592946
tumepishana mkuu nimetoka songea namtumbo asbh hii!Hatari nipo songea now nimeingia alfajiriView attachment 2589283
Unyama mwingi sana Mwaisa[emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2593004
Ipogoro nini?Ukiwa na kitrip na babe/ pisi na hali ya hewa hii.. raha sana [emoji3526]View attachment 2591719
Officer unainjoy kweli kwenye D4D humo 😀😀😀Morning Trip ✨
View attachment 2578045
Hahahahahah nilijaribu huo mchezo siku moja ya msiba maeneo ya Lomwe nilijuta kwenye gari hapalaliki 😀Huko bila maji ya moto huogi,na usiku baridi inaingia hadi kwenye gari hata ufunge vioo,nililala kwenye gari siku moja kidogo nigande
Tulia 😂Officer unainjoy kweli kwenye D4D humo 😀😀😀
Show yake ikoje mzee 😀View attachment 2572025
From moshi to singida nikaona nimalize mafuta na LC300 by the way nilifika salama.
Imefanyaje chuma hiyo mkuu?View attachment 2598340
Wazee wa Bagamoyo -Msata nipo hapa Chuma ikipona Tunanyoosha kamguu Tanga
Show yake ikoje mzee [emoji3]
Hii gari ni nissan flani li v6 ni hatari. Ina muungurumo wa kibabe sana.Wakuu hivi hizi chuma kwanini ni classic sana bei yake ukiikuta stock huigusi au kwa vile old is gold halafu vinakuaga na cc kubwa sana.View attachment 2599356
View attachment 2598340
Wazee wa Bagamoyo -Msata nipo hapa Chuma ikipona Tunanyoosha kamguu Tanga
Wakuu hivi hizi chuma kwanini ni classic sana bei yake ukiikuta stock huigusi au kwa vile old is gold halafu vinakuaga na cc kubwa sana.View attachment 2599356
Hakuna kiongoziWakuu hiv kuna root ya tanga kahama ya mabasi kweli??