M24 Headquarters-Kigali
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 8,199
- 8,186
Jaribu hiyo Dar-Cape townHunishindi mimi, yaani sina starehe zaidi ya kusafiri safiri hovyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jaribu hiyo Dar-Cape townHunishindi mimi, yaani sina starehe zaidi ya kusafiri safiri hovyo
Hebu fafanua Unamaanisha ulizaliwa ndani ya basiNi ugonjwa wa kupenda safari sana hasa road trip.
Sijui kwa vile nilizaliwa safarini?😄
Kutafutana ubaya huku na tochi...He he he he lawama hizi
cc ISO M.CodD
Niliyekua namfikiria alizinguaAisee hata hukubeba mhamasishaji kama Kasie matata?
Nafikiri basi lenyewe linaitw kataramaHa ha ha kuna thread humu kuna mwanamke alijifungua kwenye bus la kwenda Mwanza i guess!
Andaa kama 1-1.5m TZS (one way) - hiyo inajumuisha mafuta, accommodation njiani, toll gate fee, insurance Zambia na fee Fulani (Pula 400) ukipita Botswana.Fuel bill inakuja ngapi? Kuna rafiki yangu anataka kuchukua VW Tiguan au Ford Ranger 2024 akifanikiwa tunainyoosha mpaka SA.
Gharama zingeongezeka Mkuu. Hao wadudu kuwafukuza South Africa wanachachawa na vitu kwenye maduka/mallsSiku ingine weka reserve cheerleader....yule main anajua haendi halafu hataki uende na mtu so anajidai anaenda halafu dakika za mwisho anacho,oa akijua ni ngumu kupata replacement
Sio mbaya, sisi tutashare gharama za mafuta na fees za gari. But thisi is 'a must do adventure'Andaa kama 1-1.5m TZS (one way) - hiyo inajumuisha mafuta, accommodation njiani, toll gate fee, insurance Zambia na fee Fulani (Pula 400) ukipita Botswana.
**Weka na hela ya fine, Askari wa Zambia Wana njaa mno. Botswana hawana njaa kabisa.
Sana Mkuu. Ukifika Botswana chukua tahadhari Ng'ombe na Tembo barabaraniSio mbaya, sisi tutashare gharama za mafuta na fees za gari. But thisi is 'a must do adventure'
Kila mtu na starehe yake mkuu.Hunishindi mimi, yaani sina starehe zaidi ya kusafiri safiri hovyo
Unanipa wazimu, hiyo ni safari mzuri sana, unapitia milima na mabonde, utaenjoy sana view kali na location za uhakikaSio mbaya, sisi tutashare gharama za mafuta na fees za gari. But thisi is 'a must do adventure'
Kabisa mkuu, sema SGR mwaka huu imenitoa barabarani kabisa, early next year naanza trip za kaskazini huku ni gari tuKila mtu na starehe yake mkuu.
Mimi ninaposafiri huwa nahesabu ni liikizo yangu, baada ya safari huwa narudi na akili na nguvu mpya
Ukifika Mafinga nistue, unipe lift utaenda kuniacha Msamala.Leo jioni nitakuwa way na Mercedes benz b200(turbo).
BUKOBA-KAHAMA-TINDE-SINGIDA-DODOMA-IRINGA-MAFINGA-MAKAMBAKO-NJOMBE na kituo ni BOMBAMBILI (SONGEA).