Wazee wa Shinyanga wamjia juu Polepole

Wazee wa Shinyanga wamjia juu Polepole

Sina ushahidi wa kuaminika in direct Ila hata kama chuo hakijasajiliwa ,kwani fact za polepole na wewe umejiridhisha kuwa hazina mashiko au unafuata mkumbo?

Sent using Jamii Forums mobile app
Fact zipi Nitajie moja tu?

1.Kipindi cha JPM alidai deni la taifa sio issue sababu miradi imefanyika so tuangalie faida za mikopo sio ukubwa wa deni.

Awamu hii anadai deni la taifa niukoloni mamboleo sababu deni linakufanya mtumwa.

2.Alidai katiba mpya sio kipaumbele cha watu na kwamba yale yote waliyotaka kwa katiba mpya JPM katekeleza!!

Ila awamu hii anadai hakuna uwajibikaji kwa sababu mifumo imejaa wahuni etc. Sasa unajiuliza kama alijua cha muhimu ni mfumo imara sio JPM imara kwanini alipinga Katiba mpya enzi ni Katibu Mwenezi??

Tuanzie hapo
 
Mwenyekiti mstaafu wa Shinyanga Khamis Mgeja kwa niaba ya wazee amemtaka Humphrey Polepole kuacha kufarakanisha wananchi na serikali

Wameomba vyombo vinavyohusika viangalie Chuo cha Uongozi kinachoendeshwa na Polepole mtandaoni kama kumesajiliwa na kujua wanafunzi wake

Polepole amekumbushwa kuwa kila zama na kitabu chakeKaulize
Akamuulize Musikuma
 
Huyu sio Mgeja
Hizi ni siasa Majitaka za Katambi Shinyanga town
Karai Katambi ndiyo mbinu zake hizooooo
 
Mwenyekiti mstaafu wa Shinyanga Khamis Mgeja kwa niaba ya wazee amemtaka Humphrey Polepole kuacha kufarakanisha wananchi na serikali

Wameomba vyombo vinavyohusika viangalie Chuo cha Uongozi kinachoendeshwa na Polepole mtandaoni kama kumesajiliwa na kujua wanafunzi wake

Polepole amekumbushwa kuwa kila zama na kitabu chake
Hawa wasaka tonge tu kama Polepole
 
Kuna uwanja wa maoni na uwanja wa kufarakanisha. Polepole ni mbunge akihisi ana maoni ya maana aandae muswada au hoja binafsi bungeni yenye mashiko Ili kuwasilisha maoni yake yalete tija kwa Taifa. Hii kuwatishia walio madarakani na kuwatoa akili viongozi huku tukijua yeye kwenye Zama zake alikuwa mtu wa tabia gani sio sawa wala sio maoni.
CCM kumejaa watu wa hovyo sn hao wote ni wasaka tonge hakuna la maana
 
Mwenyekiti mstaafu wa Shinyanga Khamis Mgeja kwa niaba ya wazee amemtaka Humphrey Polepole kuacha kufarakanisha wananchi na serikali

Wameomba vyombo vinavyohusika viangalie Chuo cha Uongozi kinachoendeshwa na Polepole mtandaoni kama kumesajiliwa na kujua wanafunzi wake

Polepole amekumbushwa kuwa kila zama na kitabu chake
Mzee anazeeka vibaya huyu. Mbona yeye aliihama CCM kumfuata Lowasa. Au ndiyo nyani Hanoi kundule!!
 
Lakini Polepole hana chuo cha uongozi, ni shule ya uongozi, na hawa ndio wanafunzi wake🤣🐒👇

20211208_073704.jpg
 
Luna's uwanja wa maoni na uwanja wa kufarakanisha. Polepole ni mbunge akihisi ana maoni ya maana aandae muswada au hoja binafsi bungeni yenye mashiko Ili kuwasilisha maoni yake yalete tija kwa Taifa. Hii kuwatishia walio madarakani na kuwatoa akili viongozi huku tukijua yeye kwenye Zama zake alikuwa mtu wa tabia gani sio sawa wala sio maoni.
Kama vipi wamfukuze ubunge then aanzishe chama faster kabla ya 2023.presidential candidate huyu.
 
Fact zipi Nitajie moja tu?

1.Kipindi cha JPM alidai deni la taifa sio issue sababu miradi imefanyika so tuangalie faida za mikopo sio ukubwa wa deni.

Awamu hii anadai deni la taifa niukoloni mamboleo sababu deni linakufanya mtumwa.

2.Alidai katiba mpya sio kipaumbele cha watu na kwamba yale yote waliyotaka kwa katiba mpya JPM katekeleza!!

Ila awamu hii anadai hakuna uwajibikaji kwa sababu mifumo imejaa wahuni etc. Sasa unajiuliza kama alijua cha muhimu ni mfumo imara sio JPM imara kwanini alipinga Katiba mpya enzi ni Katibu Mwenezi??

Tuanzie hapo
hapo sasa
 
Mwenyekiti mstaafu wa Shinyanga Khamis Mgeja kwa niaba ya wazee amemtaka Humphrey Polepole kuacha kufarakanisha wananchi na serikali

Wameomba vyombo vinavyohusika viangalie Chuo cha Uongozi kinachoendeshwa na Polepole mtandaoni kama kumesajiliwa na kujua wanafunzi wake

Polepole amekumbushwa kuwa kila zama na kitabu chake
Polepole inatakiwa ashughulikiwe ipasavyo, yupo kwajili ya kumpinga Rais na kumkwamisha
 
Mwenyekiti mstaafu wa Shinyanga Khamis Mgeja kwa niaba ya wazee amemtaka Humphrey Polepole kuacha kufarakanisha wananchi na serikali

Wameomba vyombo vinavyohusika viangalie Chuo cha Uongozi kinachoendeshwa na Polepole mtandaoni kama kumesajiliwa na kujua wanafunzi wake

Polepole amekumbushwa kuwa kila zama na kitabu chake
Wewe mpuuzi, representative sample ya wazee wa shinyanga ni mgeja? Badilisha kichwa cha habari
 
Mwenyekiti mstaafu wa Shinyanga Khamis Mgeja kwa niaba ya wazee amemtaka Humphrey Polepole kuacha kufarakanisha wananchi na Serikali

Wameomba vyombo vinavyohusika viangalie Chuo cha Uongozi kinachoendeshwa na Polepole mtandaoni kama kumesajiliwa na kujua wanafunzi wake

Polepole amekumbushwa kuwa kila zama na kitabu chake
Neno chuo limetumika kuashiria maarifa ya uongozi. Chuo kama chuo lazima kiwe na jina, eneo /mahali pia waendeshaj na mitaala au programu.
 
Mgeja hana ushawishi wowote wa wazee shinyanga hizo propaganda za vijana wa ccm! Wameshindwa kumjibu wakiwa lumumba ambapo katibu wao yupo na mic mengI Sasa hivi anaongea NONSENSE wanarukia mikoa mingine.
 
Back
Top Bottom