Wazee wa Shinyanga wamjia juu Polepole

Wazee wa Shinyanga wamjia juu Polepole

Mwenyekiti mstaafu wa Shinyanga Khamis Mgeja kwa niaba ya wazee amemtaka Humphrey Polepole kuacha kufarakanisha wananchi na Serikali

Wameomba vyombo vinavyohusika viangalie Chuo cha Uongozi kinachoendeshwa na Polepole mtandaoni kama kumesajiliwa na kujua wanafunzi wake

Polepole amekumbushwa kuwa kila zama na kitabu chake
Wahuni mnatifuana
 
Kuna uwanja wa maoni na uwanja wa kufarakanisha. Polepole ni mbunge akihisi ana maoni ya maana aandae muswada au hoja binafsi bungeni yenye mashiko Ili kuwasilisha maoni yake yalete tija kwa Taifa. Hii kuwatishia walio madarakani na kuwatoa akili viongozi huku tukijua yeye kwenye Zama zake alikuwa mtu wa tabia gani sio sawa wala sio maoni.

Tuanzie hapo kwenye CHUO CHA UONGOZI; wanaouliza kama Chuo cha Polepole kimesajiliwa wanajua maana ya Chuo? CHUO ni mahala popote ambapo mtu mwenye ufahamu anaweza kutoa elimu. Hivyo ili kuwa na chuo lazima awepo MWALIMU na wanafunzi!!
Kwenye platform ya mtandao mwalimu ni Polepole, na wanafunzi ni wale wanaomsikiliza maoni yake. Sasa nyie mnaouliza usajili wa Chuo cha Polepole kwani amewaambia anatoa shahada ganI?
 
Back
Top Bottom