Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Swali hapa ni usajili wa chuo.Sina ushahidi wa kuaminika in direct Ila hata kama chuo hakijasajiliwa ,kwani fact za polepole na wewe umejiridhisha kuwa hazina mashiko au unafuata mkumbo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Fact zipi Nitajie moja tu?Sina ushahidi wa kuaminika in direct Ila hata kama chuo hakijasajiliwa ,kwani fact za polepole na wewe umejiridhisha kuwa hazina mashiko au unafuata mkumbo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Akamuulize MusikumaMwenyekiti mstaafu wa Shinyanga Khamis Mgeja kwa niaba ya wazee amemtaka Humphrey Polepole kuacha kufarakanisha wananchi na serikali
Wameomba vyombo vinavyohusika viangalie Chuo cha Uongozi kinachoendeshwa na Polepole mtandaoni kama kumesajiliwa na kujua wanafunzi wake
Polepole amekumbushwa kuwa kila zama na kitabu chakeKaulize
Mwisho mtatoana masikio, ila kumbukeni wote wakijaniMgeja huyu timu lowassa ten timu CHADEMA want the hell is that,akae kimya na tumbo lake
USSR
Tufafanulie ulimaanisha nini maana hueleweki.Mgeja huyu timu lowassa ten timu CHADEMA want the hell is that,akae kimya na tumbo lake
USSR
Kiingereza mngekiacha tu maana kimeshawakataa.Sina ushahidi wa kuaminika in direct Ila hata kama chuo hakijasajiliwa ,kwani fact za polepole na wewe umejiridhisha kuwa hazina mashiko au unafuata mkumbo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa wasaka tonge tu kama PolepoleMwenyekiti mstaafu wa Shinyanga Khamis Mgeja kwa niaba ya wazee amemtaka Humphrey Polepole kuacha kufarakanisha wananchi na serikali
Wameomba vyombo vinavyohusika viangalie Chuo cha Uongozi kinachoendeshwa na Polepole mtandaoni kama kumesajiliwa na kujua wanafunzi wake
Polepole amekumbushwa kuwa kila zama na kitabu chake
CCM kumejaa watu wa hovyo sn hao wote ni wasaka tonge hakuna la maanaKuna uwanja wa maoni na uwanja wa kufarakanisha. Polepole ni mbunge akihisi ana maoni ya maana aandae muswada au hoja binafsi bungeni yenye mashiko Ili kuwasilisha maoni yake yalete tija kwa Taifa. Hii kuwatishia walio madarakani na kuwatoa akili viongozi huku tukijua yeye kwenye Zama zake alikuwa mtu wa tabia gani sio sawa wala sio maoni.
Mzee anazeeka vibaya huyu. Mbona yeye aliihama CCM kumfuata Lowasa. Au ndiyo nyani Hanoi kundule!!Mwenyekiti mstaafu wa Shinyanga Khamis Mgeja kwa niaba ya wazee amemtaka Humphrey Polepole kuacha kufarakanisha wananchi na serikali
Wameomba vyombo vinavyohusika viangalie Chuo cha Uongozi kinachoendeshwa na Polepole mtandaoni kama kumesajiliwa na kujua wanafunzi wake
Polepole amekumbushwa kuwa kila zama na kitabu chake
Kama vipi wamfukuze ubunge then aanzishe chama faster kabla ya 2023.presidential candidate huyu.Luna's uwanja wa maoni na uwanja wa kufarakanisha. Polepole ni mbunge akihisi ana maoni ya maana aandae muswada au hoja binafsi bungeni yenye mashiko Ili kuwasilisha maoni yake yalete tija kwa Taifa. Hii kuwatishia walio madarakani na kuwatoa akili viongozi huku tukijua yeye kwenye Zama zake alikuwa mtu wa tabia gani sio sawa wala sio maoni.
hapo sasaFact zipi Nitajie moja tu?
1.Kipindi cha JPM alidai deni la taifa sio issue sababu miradi imefanyika so tuangalie faida za mikopo sio ukubwa wa deni.
Awamu hii anadai deni la taifa niukoloni mamboleo sababu deni linakufanya mtumwa.
2.Alidai katiba mpya sio kipaumbele cha watu na kwamba yale yote waliyotaka kwa katiba mpya JPM katekeleza!!
Ila awamu hii anadai hakuna uwajibikaji kwa sababu mifumo imejaa wahuni etc. Sasa unajiuliza kama alijua cha muhimu ni mfumo imara sio JPM imara kwanini alipinga Katiba mpya enzi ni Katibu Mwenezi??
Tuanzie hapo
Polepole inatakiwa ashughulikiwe ipasavyo, yupo kwajili ya kumpinga Rais na kumkwamishaMwenyekiti mstaafu wa Shinyanga Khamis Mgeja kwa niaba ya wazee amemtaka Humphrey Polepole kuacha kufarakanisha wananchi na serikali
Wameomba vyombo vinavyohusika viangalie Chuo cha Uongozi kinachoendeshwa na Polepole mtandaoni kama kumesajiliwa na kujua wanafunzi wake
Polepole amekumbushwa kuwa kila zama na kitabu chake
Wewe mpuuzi, representative sample ya wazee wa shinyanga ni mgeja? Badilisha kichwa cha habariMwenyekiti mstaafu wa Shinyanga Khamis Mgeja kwa niaba ya wazee amemtaka Humphrey Polepole kuacha kufarakanisha wananchi na serikali
Wameomba vyombo vinavyohusika viangalie Chuo cha Uongozi kinachoendeshwa na Polepole mtandaoni kama kumesajiliwa na kujua wanafunzi wake
Polepole amekumbushwa kuwa kila zama na kitabu chake
mazoezi, ndiyo anajifunzaAndika kiswahili kaka, aibu nyingine zinaepukika.
Neno chuo limetumika kuashiria maarifa ya uongozi. Chuo kama chuo lazima kiwe na jina, eneo /mahali pia waendeshaj na mitaala au programu.Mwenyekiti mstaafu wa Shinyanga Khamis Mgeja kwa niaba ya wazee amemtaka Humphrey Polepole kuacha kufarakanisha wananchi na Serikali
Wameomba vyombo vinavyohusika viangalie Chuo cha Uongozi kinachoendeshwa na Polepole mtandaoni kama kumesajiliwa na kujua wanafunzi wake
Polepole amekumbushwa kuwa kila zama na kitabu chake
Vilaza na mazuzu ya UVCCM ndivyo yalivyo.Andika kiswahili kaka, aibu nyingine zinaepukika.