Wazee wa zamani walikuwa Fighters! Maisha yalikuwa magumu sana

Wazee wa zamani walikuwa Fighters! Maisha yalikuwa magumu sana

Moto wa volcano

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2018
Posts
1,148
Reaction score
2,815
Kila nikikaa na kufikiria jinsi Dunia ilivyopiga hatua kwenye sayansi na Teknolojia huwa nafikiria maisha ya wazee wetu wa zamani embu fikiria Dunia bila mitandao ya kijamii WhatsApp ,insta au Google.

Fikiria Dunia bila SIM banking hizi za Tigo pesa , M pesa , Zamani ilikuwa ukikwama ki fedha hakuna cha ndugu wala rafiki kukutumia pesa kwa simu , ukikwama unapambana na hali yako . Mawasiliano yalikuwa ni kwa njia ya barua na yaweza kuchukua hata mwezi mpaka ujibiwe . Kwakweli wazee nawapa kongole mmetoka mbali na Dunia.
 
Maisha ni haya haya tuu. Mtu hakuwa na internet wala simu ila alikuwa na mbuzi, ngombe kuku miti ya matunda hata kwa jirani anapata bure. Wanyama pori ilikuwa mnakimbiza mnaua tuu mnakula nyama choma na pombe za asili inayobaki mnakausha. Hapakuwa na maradhi kama karne hizi. So maisha ni yale yale ni just mabadiliko ya nyakati tuu.
 
Kila nikikaa na kufikiria jinsi Dunia ilivyopiga hatua kwenye sayansi na Teknolojia huwa nafikiria maisha ya wazee wetu wa zamani embu fikiria Dunia bila mitandao ya kijamii WhatsApp ,insta au Google.

Fikiria Dunia bila SIM banking hizi za Tigo pesa , M pesa , Zamani ilikuwa ukikwama ki fedha hakuna cha ndugu wala rafiki kukutumia pesa kwa simu , ukikwama unapambana na hali yako . Mawasiliano yalikuwa ni kwa njia ya barua na yaweza kuchukua hata mwezi mpaka ujibiwe . Kwakweli wazee nawapa kongole mmetoka mbali na Dunia.
Maisha yap magumu nyie sio kwel zamani kwanza chakula uhakika,

Pili wanawake hawakuwa aware kama siku wa nakubali kuvumilia shida na kuolewa mke wa pili Ata watano

Zamani wanawake walikuwa hawajoma sana hivo Ata ujuaji haukuwa mwingi

Zamani wanawake walikuwa hawatafti pesa hivo hawakuhoji hoji alicholeta mme waridhika na vipato vya baba na babu zetu

Zamani ukisoma hata kazi unajichagulia

Zamani Ata wake walikuwa wanatafutiwa

Zamani ulikuwa unaweza ishi kwa ndugu ukalelewa ukasomeshwa na ndugu na usinyanyaswe ukahesabika kama mtoto wao

Zamani kulikuwa hakuna kulipa luku wala bill za maji plus tozo mbalimbali

Ugumu upi au mgao wa sukari miaka ya 1980??
Zamani maisha yalikuwa mwepesi buana
 
Maisha ni haya haya tuu. Mtu hakuwa na internet wala simu ila alikuwa na mbuzi, ngombe kuku miti ya matunda hata kwa jirani anapata bure. Wanyama pori ilikuwa mnakimbiza mnaua tuu mnakula nyama choma na pombe za asili inayobaki mnakausha. Hapakuwa na maradhi kama karne hizi. So maisha ni yale yale ni just mabadiliko ya nyakati tuu.
Well said...
 
Upo sahihi sana ila kwa nini kuna mtu humu anawaza agralian economy tu. Kwa nini hawazi electronics economy ! Leo mtu anaunda app anapata mabilioni ?. Uchumi upo kwa space bado kuna mtu anawaza kwa nini hamkumiliki ardhi ! Kijana wa leo bado anawaza kizamani ! Ni ajabu sana mtu wa 50's yupo trending kuliko wa 2000's. Kijana mdogo ila ni primitive.
 
Kila nikikaa na kufikiria jinsi Dunia ilivyopiga hatua kwenye sayansi na Teknolojia huwa nafikiria maisha ya wazee wetu wa zamani embu fikiria Dunia bila mitandao ya kijamii WhatsApp ,insta au Google.

Fikiria Dunia bila SIM banking hizi za Tigo pesa , M pesa , Zamani ilikuwa ukikwama ki fedha hakuna cha ndugu wala rafiki kukutumia pesa kwa simu , ukikwama unapambana na hali yako . Mawasiliano yalikuwa ni kwa njia ya barua na yaweza kuchukua hata mwezi mpaka ujibiwe . Kwakweli wazee nawapa kongole mmetoka mbali na Dunia.
Ahsante mwanangu,ila nawapa pole nyie wakizazi hiki Binti anakuomba hela na ya kutolea!
 
Back
Top Bottom