Wazee wa zamani walikuwa Fighters! Maisha yalikuwa magumu sana

Wazee wa zamani walikuwa Fighters! Maisha yalikuwa magumu sana

Tunaposema Maisha ni rahisi au magumu,tunaangazia aspects zipi za Maisha? Tunatumia mizania ipi? Tunalinganisha vipindi vyepi na vyepi?

Kwa uelewa wangu,kila zama na kitabu chake. Isiwe hapa tunabishana kutakana na mgongano uliopo wa tangu na tangu wa UKALE na USASA. Inawezekana kijana wa KISASA kafeli halafu anaanza visingizio na kutaka kuwaangushia jumba bovu wa Kale. Au isiwe wazee wetu walifeli wao kama wao halafu wanaanza kuona Leo ndio kitonga.

Yayumnika kwamba kizazi kimoja starti kiwe bora kuliko kizazi kilichopita,ikiwa vice versa basi hapo tunasema Jamii husika ipo kwenye mkwamo.
 
Maisha ya zamani yalikua simple sana mkuu
mwingilino mdogo uliwafanya wawe na minimal desires"kwa hiyo walikuwa na utajiri wa vitu vya muhimu kama chakula hawakuhitaji burger wala chipsi kuku,mawasiliano hayakuwa na umuhimu sana hivo hakuna mahitaji ya Tv,iphones wala bando,ngoma unahudhuria bure na demu unang'oa bure ni umahiri wako wa kucheza au kupiga ngoma,mkuu malazi ni nyumba za miti na nyasi no vigae hapo
In short nature provided what they neede...
 
Mm binafsi mzee wangu anafuraia Maisha ya sasa anataman saiv arudi ujanani it means mambo ya Zaman 🔥🔥🔥🔥si haba
 
Kila nikikaa na kufikiria jinsi Dunia ilivyopiga hatua kwenye sayansi na Teknolojia huwa nafikiria maisha ya wazee wetu wa zamani embu fikiria Dunia bila mitandao ya kijamii WhatsApp ,insta au Google.

Fikiria Dunia bila SIM banking hizi za Tigo pesa , M pesa , Zamani ilikuwa ukikwama ki fedha hakuna cha ndugu wala rafiki kukutumia pesa kwa simu , ukikwama unapambana na hali yako . Mawasiliano yalikuwa ni kwa njia ya barua na yaweza kuchukua hata mwezi mpaka ujibiwe . Kwakweli wazee nawapa kongole mmetoka mbali na Dunia.
ASANTE 👍👌
 
Kila nikikaa na kufikiria jinsi Dunia ilivyopiga hatua kwenye sayansi na Teknolojia huwa nafikiria maisha ya wazee wetu wa zamani embu fikiria Dunia bila mitandao ya kijamii WhatsApp ,insta au Google.

Fikiria Dunia bila SIM banking hizi za Tigo pesa , M pesa , Zamani ilikuwa ukikwama ki fedha hakuna cha ndugu wala rafiki kukutumia pesa kwa simu , ukikwama unapambana na hali yako . Mawasiliano yalikuwa ni kwa njia ya barua na yaweza kuchukua hata mwezi mpaka ujibiwe . Kwakweli wazee nawapa kongole mmetoka mbali na Dunia.
Mkuu nakukatalia zanani maisha yalikua rahisi sana ila wazee walikua hawana malengo ya watoto wao walikua awawazi watoto wao miaka 20 mbele wataishije wao walikua wanajua walipo tu.
 
Back
Top Bottom