Bunchari
JF-Expert Member
- Aug 31, 2017
- 558
- 661
Habari wakuu,hamjambo?
Njlikua na jamaa yangu akinisimulia jambo nikafikiria Sana kuhusu hawa wazee wetu kwa matukio yao Kama ifuatavyo..
Wengine wao walikua na tabia ya kujihusisha kimapenzi na wajukuu,watoto na ndugu wa karibu,kwanini nasema hivyo?
Kuna kijana wa kike mdogo na msumbufu anatatiza watu,nikajaribu kumuuliza jamaa Nini tatizo,akanijibu Babu wa huyo binti Kuna tetesi aliwahi kuhusishwa kimahusiano na mtoto wake huenda hiyo kitu kiroho inamvuruga binti.
Visa Ni vingi sana,hata nikiamua kuweka hapa sitomaliza,swali najiuliza hawa jamaa waliishi maisha gani???
Kizazi Chao na kilichopo Sasa si Bora iki? Kwa upande mwingine ukikutana nao katika maongezi wanaonesha wao Ni boa kuliko Sasa.
Najiuliza ubora wao ulikua kwalipi?
Njlikua na jamaa yangu akinisimulia jambo nikafikiria Sana kuhusu hawa wazee wetu kwa matukio yao Kama ifuatavyo..
Wengine wao walikua na tabia ya kujihusisha kimapenzi na wajukuu,watoto na ndugu wa karibu,kwanini nasema hivyo?
Kuna kijana wa kike mdogo na msumbufu anatatiza watu,nikajaribu kumuuliza jamaa Nini tatizo,akanijibu Babu wa huyo binti Kuna tetesi aliwahi kuhusishwa kimahusiano na mtoto wake huenda hiyo kitu kiroho inamvuruga binti.
Visa Ni vingi sana,hata nikiamua kuweka hapa sitomaliza,swali najiuliza hawa jamaa waliishi maisha gani???
Kizazi Chao na kilichopo Sasa si Bora iki? Kwa upande mwingine ukikutana nao katika maongezi wanaonesha wao Ni boa kuliko Sasa.
Najiuliza ubora wao ulikua kwalipi?