Wazee waliojitolea kuchangia kuanzishwa kwa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam

Ha haaaa!
 
Kuna siku mjukuu wako atapita atakutana na hii comment nae atalaumu Babu badala atafute pesa kumbe yuko bize JF.

Karma sio demu wa kuoa. Karma is a bitch.
 
Kumbe former VC Nicholas Kuhanga alikua mwanzilishi. Kuhanga alikua VC wangu kabla ya kupumzishwa na kuletwa Prof Mmari, the best VC the university has ever had.
 
Kuna siku mjukuu wako atapita atakutana na hii comment nae atalaumu Babu badala atafute pesa kumbe yuko bize JF.

Karma sio demu wa kuoa. Karma is a bitch.
Kikubwa atakuta Mali za urithi kuhusu komenti ataona jinsi nilivyokuwa kichwa tukuka hasa mwenye mawazo ya mlengo endelevu .
 
Nina wasiwasi hao siyo first intake ya udsm.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…