Kiasi tu madam wangu😆😆 ila bado sijaoa🤣🤣🤣nImefurahi kutambua umri wako
Hakika umekula chumvi nyingi🤣🤣🤣🤣
Kicheko cha nyuma ya keyboard kumbe kinakukera hivyo basi🤐🤐🤐 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hahaha.........hutaki kuwa mlokole kwanini? Mbona Bank yenu nimeweza kuwa mlokole 😜Babu kuhusu ulokole unanichokoza sasa🤣🤣🤣
Kuwa tu babu🤣Hahaha.........hutaki kuwa mlokole kwanini? Mbona Bank yenu nimeweza kuwa mlokole 😜
Of course ukifika umri wetu huu lazima uokoke, maana unakuwa kama gari la Mkaa, tripu shamba, tripu gerejiKuwa tu babu🤣
Never babu,kwangu no kabisa 😅Of course ukifika umri wetu huu lazima uokoke, maana unakuwa kama gari la Mkaa, tripu shamba, tripu gereji
Hili tangazo 😂😂😂
Kiasi tu madam wangu😆😆 ila bado sijaoa🤣Kwann
Namshukuru Mungu maradhi nimenusurika.......Mkuu hivi kwa umri huo, ufanisi wa kitendea kazi ukoje?
Maana magonjwa nyemelezi kama sukari presha, moyo na mengineyo yanakuwa tayari yamo au ndio mwendo wa veeaaagaraa.